Hii inakwamisha mambo mengi sana kwa watu wanaopenda kubrowse na kupakua Downloads. Lakini Vodacom bado wanajitahidi sana kuridhisha customers linapokuja suala la mtandao wa internet
mlioko town mnaenjoy sana huku vijijini mtandao mbovu sana, unaandika EDGE hata ufanyaje uwezi download movie au kutazama video youtube...wakuu naomba kama kuna jinsi ya kuongeza spidi mnijuze nataabika na mtandao sana