Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,219
- 1,786
nimejiunga nikapata 1g at full speed then ikiisha unapata speed ndogo
Habari, Nimeingia muda huu kununua Wajanja Night nikakuta kuna kifurushi kimeongezeka. Unalipia Tsh 1000 na unajipatia unlimited internet access. Sijapata kufahamu hiki kifurushi ni exclusive kwa muda gani.
Unajiungaje na hicho kifurushi mkuu?
Unajiungaje na hicho kifurushi mkuu?
nimejiunga nikapata 1g at full speed then ikiisha unapata speed ndogo
nimejiunga nikapata 1g at full speed then ikiisha unapata speed ndogo
Voda kuna kitu kimewashitua na kuamua kurejea upya viwango vyao vya internet. Na hii kwa kiasi fulani itakidhi mahitaji kwenye simu zetu.