Vodacom tuoneeni huruma, mtatupoteza wateja wenu...

Kutuibia wanatuibia bado ukiwapigia watu wa huduma kwa wateja lazima kwanza ujiandae kwa lugha ya kejeri na dhalau voda nahisi wametuchoka.
 
Aah! Voda nyoko!!.... Yaan niliweka 7000 ili nipate kifurushi cha 1 week net, ile naanza kufata procedure za kujiunga naambiwa huna salio la kutosha! Nikaweka tena the same amount wakapiga tena...sifanyii kazi voda so nimewahama friday last week. Airtel safi!!!!¨
 
Achana hao ni wezi, mimi nilipoteza lainni taratibu za mara Unaambiwa utaje majina unaowasiliana Ukifanikiw Unaambiwa kitambulisho ikifofautiana kidogo utajuta kwa nini umepoteza muda mimi, mara kaape kwa hakimu, vikwazo chungu nzima!!!! Njooo zantel Unapat Dk 20 4 all

Hebu nipe uzuri wa Zantel ndugu nilitaka nihamie huko,nipe muda wa vifurush na mb wanatoaje niko dilema niende tigo ama zantel,asante!
 
Tena Voda wanatabia ya kukata pesa sana bila taarifa Mathalani una bundle labda ya cheka alafu una salio lingine kwenye simu bundle ikiisha wala hawakupi taarifa wanakatata na pesa yako ikiiasha ndio wanakwambia umemaliza salio.

hilo ni kweli mkuu jamaa wapigaji sana mbona wenzao mb zinapoelekea kuisha wanatoa notification wenyewe wanamute alafu wakikombo ndio hutoa taarifa.

hawa nao wezi kama wezi wengine tu
 
Kutuibia wanatuibia bado ukiwapigia watu wa huduma kwa wateja lazima kwanza ujiandae kwa lugha ya kejeri na dhalau voda nahisi wametuchoka.

Mim line yao nilichoma moto baada Ya kupokea MAJIBU Ya kijinga kutoka Kwa hao mabinti
 
They only reason hio hela imepungua ni kwamba, pindi unaweka hio vocha hukuzima data. Hivyo pindi vocha imeingia ikaanza kuliwa kwa vile apps kama watts app, insta zinakuwa zinafanya kazi on background. Inabidi pindi ukiweka vocha zima data.

Hata kama umezima data waka
ti mwingine bado wanaiba pia unapo jiunga kifurushi cha bila kikomo Unaambiwa kifrushi cha
ko kimeisha tena kabla ya masaa 24 unabaki unajiuliza kifrushi masaa 24 bila kikomo maana yake nini?
 
Voda ni mababylon hatari, kampuni ya kishenzi sana hawana huruma na wateja wao
 
Aah! Voda nyoko!!.... Yaan niliweka 7000 ili nipate kifurushi cha 1 week net, ile naanza kufata procedure za kujiunga naambiwa huna salio la kutosha! Nikaweka tena the same amount wakapiga tena...sifanyii kazi voda so nimewahama friday last week. Airtel safi!!!!¨

Kabla hajaweka salio kwa ajili ya kununua kifurushi, hakikisha umezima data.
 
Kabla hajaweka salio kwa ajili ya kununua kifurushi, hakikisha umezima data.

Siyo wote wanaoibiwa na vodacom wana smartphone...
Hata wenye simu zisizo na access ya internet watumiaji wake wanaibiwa...

Tafakari...
 
Hiyo ni kweli fedha ziliwa hata data ikiwa off au hata km una simu isiyo na data.
Mimi simu yangu ni smartphone laini 2 dual lakini data ipo upande wa Airtel.
Jana nimeweka buku kw voda ili ninunue bundle ya 1000, lkn inaniambia salio halitoshi.
Kungalia imebaki km TSh 700.
Baada ya muda nikataka kununua ya 500, kuangalia 0.00.
Ni wezi hawa jamaa
 
Voda wezi sna m nawekaga buku nijiunge na kifurushi cha siku cha internet unakuta imebakia 800. Wanachukua hela tu ya mtu bila taarifa wanauzi sana hawa Vodacom kama ni mtu anafanya basi hii itawaharibia soko lenu rekebisheni na muombe radhi watanzania.
 
Hiyo ni kweli fedha ziliwa hata data ikiwa off au hata km una simu isiyo na data.
Mimi simu yangu ni smartphone laini 2 dual lakini data ipo upande wa Airtel.
Jana nimeweka buku kw voda ili ninunue bundle ya 1000, lkn inaniambia salio halitoshi.
Kungalia imebaki km TSh 700.
Baada ya muda nikataka kununua ya 500, kuangalia 0.00.
Ni wezi hawa jamaa

Duu, pole sana mkuu. Rostam Aziz ana hisa vodacom 35%; ndiye billionnare nambari moja Tz. Tafakari!
 
Back
Top Bottom