lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
- Thread starter
- #21
nafikiri watu wakijua majority share zinamilikiwa na nani, na composition ya bodi ya wakurugenzi wanamuelekeo wa chama gani, utapata jibu kwanini hawakutokea ktk top five na huku wanapata faida kubwa
hata kwenye kubadilisha nembo walikwenda ikulu
hahahahahaha hawa jamaa wako wazi sana kwenye mambo yao sema sisi tu ndio hatuoni