Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Wacha weee!!!Simba 1 ruvu 0
Wacha weee!!!Simba 1 ruvu 0
Sio Alasiri Mtani. Umechanganya madesa.hahaha nimetoka isha
20.58 pmSio Alasiri Mtani. Umechanganya madesa.
Goli hilo. ๐๐ limekuchanganya. ๐๐๐
Hivi Mtani na wewe umeikubali hiyo kauli ? ๐ค๐ค๐คKongole mkuu SimbaNguvuMoja
Huyu jamaa ana bidii sana uwanjani, anastahili pongezi sana40' Goooooooooooooooooooaaal gooooooooooooaal
Miraji Athumani anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa kichwa akipokea krosi safi upande wa kulia.
Ruvu Shooting 0-1 Simba SC
Nshasahau atiii Mtani ๐๐๐๐๐๐20.58 pm
Sijachanganya
Mtoto miraji huyu hatari hatari
Naona unaeka akiba ya maneno Mtani.Ila game bado ipo 50/50
Wacha tusubiri
Taratibu taratibu tutayasikia mengi Mtani. Teh tehUkweli usemwe tu........Simba imekuwa timu ya kawaida sana ukiangalia hii mechi hauoni utofauti wowote wa Simba yenye Professional players na Ruvu yenye wachezaji ambao ni loser.
Beki yetu kuna mda inavuja sanaNaona unaeka akiba ya maneno Mtani.
Mkuu huyu kocha hana mechi 2 mbele atatuachia timu tu.Taratibu taratibu tutayasikia mengi Mtani. Teh teh
Tairone da salvaNaona unaeka akiba ya maneno Mtani.
Tukiwafunga goli nyingi hamkawii kusema tumenunua, tukiwalegezea kidogo bado mna disi. Tufanyeje ??Ukweli usemwe tu........Simba imekuwa timu ya kawaida sana ukiangalia hii mechi hauoni utofauti wowote wa Simba yenye Professional players na Ruvu yenye wachezaji ambao ni loser.
Weraaaaa46' Goooooooooooooooooooaaal Goooooaaaal
Tairone Santos anapiatia Simba SC bao la pili kufuatia mpira wa Kona iliyopigwa.
Ruvu Shooting 0-2 Simba SC
Duuh!! Inakuwaje tena ?Beki yetu kuna mda inavuja sana
Tungekuwa tumeshapigwa 2_1.