Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,099
- 14,835
Mi kusema kweli voda washanikosa tangu mwaka jana walipoweka vifurushi vya mgao ka pombe za sangamela sijaweka salio mpaka leo ingawa nilikuwa mteja mtiifu wa kuweka sh 1000 kila siku ya Mungu.
Kwa hiyo mpaka leo wameshakosa hela yangu kama zaidi ya sh laki na samanii hivi, je ni wateja wangapi tulikimbia kipindi kile!
Kwa hiyo mpaka leo wameshakosa hela yangu kama zaidi ya sh laki na samanii hivi, je ni wateja wangapi tulikimbia kipindi kile!