Vodacom nuksi sana

Vodacom nuksi sana

Oh kweli mkuu,nahitaji kufanya utafiti katika hili kama hutojali tuwasiliane mkuu.

rogie..@nmeku pm, ila TCRA ni wakati wao wa kuyachunguza makampuni ya simu yote
 
ayaaaaa maumivu yaani kifurushi cha sh 899 zamani tulikuwa tunapewa mb 300 how come sahvi tunapewa mb 200.mitandao ya sim tanzania mmekuwa kibabe
 
Polen Mnaoendelea Kuweka Vocha Kwenye Voda, Mi Nimebak Kwenye Huduma Ya Mpesa Tu, Labda Kupokea Na Kutumia Sekunde 60 Za Hello Tz
 
Kuna uwezekano mkubwa uli-diverts calls kwenye namba yako ya tgo.

hata sija divert,na hata ukiuliza watu wanao divert watakwambia hawakatwi 1000 sijui 2000,hamna watu waongo kama voda,kila siku wana story mpya,mwanzoni walikuwa wananiambia saa fulani ulimpigia mtu wa tigo na mkaongea dakika kadha,wakati ninakuwa na uhakika sijapiga simu from voda to tigo wala hamna mtu aliyeshika simu zangu,inaelekea hata system zao si za uhakika,kuna siku walisema umepokea simu kutoka nje so umekatwa hela,yani ni wezi wakubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom