Vodacom nimewachoka

Vodacom nimewachoka

Wezi haswaaaa..... Na ukiwapigia cm hawana Cha maana Cha kukusaidia.... Hi tabia yao ya kukata salio kidogo kidogo nliamuaga kutokuweka salio la kawaida kwa cm nlikia naweka mpesa tuuu Sasa,,, Sasa ivi hata mpesa cweki TENAAA .... Najua mimi mmoja tuu nikiwahama hawapati hasara yoyote lakn ndo tayar washampoteza mteja ivyooo
Kuna siku niliweka pesa 1500 nikajiunga kifurushi cha tigo(saizi yako) sms ikarudi kuwa nimeunganisha dk,mb na sms kwa wiki nikaanza kupiga simu kama dk 6 ikakata nikajua mtandao kupiga naambiwa sina salio la kutosha,,ikanibidi niangalie kifurushi nakuta hamna kuwapigia kuwaeleza kuwa nimejiunga na sms wamenirudishia walikataa kata kata kwahiyo mitandao yote wanazingua ila voda ndo vichaa zaidi huduma zao ghali na mbovu
 
Kwakweli hili la kukata salio kimyakimya linashangaza sana,kuanzia leo siweki salio tena,
Bora uliweke kwa mpesa ununue salio kwa mpesa..... Ila wahame tuuu yanini kukaa na majiziii yaan voda Hadi tuzo points wanaiba waliiba kwangu Mimi hapa alafu wakajidai Ni tatizo la mtandao
 
Tena ukienda mikoani hautaki hata tumia voda: kuna sehemu nilikuwa yani kwa siku natumia 2000 afu napata MB 200.

Nikajihamia zangu tigo, na wiki mbili sasa
Japo nao wwkizingua naenda nyumban TTCL
Yaani hao Ttcl nao ndo wameoza kabisaaa ingawa walikuja kwa kasi..... Ukiwa na tatizo ukiwapigia cm huduma kwa wateja wanapokea wanakusikiliza alafu hawatekelezi ng'o Mimi Ni shahidi wa hili na ukijaribu kupiga tena hau unganishwi na customer care wao TENAAA..... Na pesa kwenye Ttcl pesa ( wao wanaita T pesa) haitoki nashindwa kununua nayo salio Wala siwezi kuihamisha kwenda popote na mpaka saa hi bado ipo ukiwapigia cm hawana majibu ya kuridhisha
 
Kuna siku niliweka pesa 1500 nikajiunga kifurushi cha tigo(saizi yako) sms ikarudi kuwa nimeunganisha dk,mb na sms kwa wiki nikaanza kupiga simu kama dk 6 ikakata nikajua mtandao kupiga naambiwa sina salio la kutosha,,ikanibidi niangalie kifurushi nakuta hamna kuwapigia kuwaeleza kuwa nimejiunga na sms wamenirudishia walikataa kata kata kwahiyo mitandao yote wanazingua ila voda ndo vichaa zaidi huduma zao ghali na mbovu
Ooooh saa zingine Kama una mda wafungie Safari kabisaaa as long as iyo sms ya kuunganishwa unayo na ukifika office zao omba kuonana na boss wao wa hapo kabisaaa.... Ukishasikilizwa dai na gharama zako za nauli shwainiii kabisaaa
 
Offer yao ya dar super uni sikuhizi hawana.
Wanapendelea dar hawa majamaa.

Size yako ya tigo ni kiboko.
Kwa laini ya chuo ila, maana maisha aya inabidi tuwe wanafunzi wa chuo tu sasa
😂😂😂😂😂 madenti sio
 
Vodacom Wanabei sana ila kiukweli kwa uhakika wa huduma ni vodacom....internet yao iko vizuri lakini gharama...Mpesa iko fresh lakini makato sasa....Anyway labda ni cost ya kutoa huduma nzuri hiyo.
Tigo niliunga internet 3GB per month, najuta..

Asilimia kubwa hapa..tukiambiwa tutumiwe pesa kwenye simu 10 million mfano, tutaweka namba zetu za voda..weka tigo uone show yake, utaikuta 9.xmillion inashuka mdogomdogo
 
Jana nimeweka vocha ya tsh 2499 nikajiunga hicho kifurushi cha siku saba nipate dakika 30.
Ukweli nilitumia dakika 3 tu nikaishiwa
 
Mimi Nina elfu mbili kwenye salio na bando la data nilikua nimejiunga na bado lipo lakini naona kila Siku wanakata mia,Jana ikabaki 1,900 Leo asubuhi imebaki 1,800 hawa jamaa ni wezi kweli aisee
jichanganye kupiga simu moja tu bila bando ikipokelewa na kukatwa hapo hapo ujue akaunti itabaki na tsh.2
 
Mkuu kwakweli hiyo naona ndo dawa yao ila kuna wakati ndo unakuta utapoteza nguvu nyingi sana na pesa maana inawezekana usisikilizwe pia na mamlaka
Ooooh saa zingine Kama una mda wafungie Safari kabisaaa as long as iyo sms ya kuunganishwa unayo na ukifika office zao omba kuonana na boss wao wa hapo kabisaaa.... Ukishasikilizwa dai na gharama zako za nauli shwainiii kabisaaa
 
nafurahi sana munavyoyaanika haya mafisadi, yameamua kutupiga hela kwenye makato ya mpesa
Jana nimeweka vocha ya tsh 2499 nikajiunga hicho kifurushi cha siku saba nipate dakika 30.
Ukweli nilitumia dakika 3 tu nikaishiwa
 
Sahivi tumepoteana kila mtu kakimbilia mtandao anaoona value for money kwake. Binafsi niko Zantel, ila nilitokea Airtel.

Kimsingi nimeona suluhu ni kuwa na mitandao yote tu.
 
Hawa mala.ya mwanzo kwa Tsh5,000/= nikipata GB3 na point sasa nashangaa wameshusha hadi MB1500 sijui wana akili gani

Tena bora wewe unapewa MB800 per week mimi hiko wameniondolea kabisa then kwanini kila mteja ana kiwango chake cha bundle?kuna nini hapa?
 
Mimi mbn n 1gb kwa week na dk 175, sms bla kikom kwa buk 2?
hio ya kutembea na salio n kweli ukijisahau, juz kuna jamaa yang anauza duka kasema alifunga duka kwenda kulala anaamka asubuh wameingia dukan wamekwangua vocha zake mpk za tigo halaf wakamtumia msg asante kwa kujiunga.
 
jichanganye kupiga simu moja tu bila bando ikipokelewa na kukatwa hapo hapo ujue akaunti itabaki na tsh.2
Ndio hivyo,Hapa nataka nijiunge na kifurushi tu hata kama bado hakijaisha maana nitakula hasara
 
Laini ya voda nilishaacha kutumia kabisa Nina wiki mbili tu tangu niweke,lakini kwa huu wizi narudi kwenye airtel tu
Bora uliweke kwa mpesa ununue salio kwa mpesa..... Ila wahame tuuu yanini kukaa na majiziii yaan voda Hadi tuzo points wanaiba waliiba kwangu Mimi hapa alafu wakajidai Ni tatizo la mtandao
 
nina line ya voda ila nimesahau nilinunua bundle lini, mara ya mwisho ni kama 2016
 
Back
Top Bottom