Vodacom ni Wezi?

Wengi wanalalamikia Mitandao bila kuelewa,Unakuta kasett automatic downloads wasapu,sijui telegram ku update App automatic ana App unnecessary,bando linawahi kuishia anaanza kulalamika Mtandao Fulani ni wezii wakati hajaangalia simu yake vizurii + matumizi yake.Nani hajui Insta inakula Mb?Nani asiye jua YouTube Vidmate wanakula mb pasipo kawaida?
Ukweli kbs
 
Angalia Kuna apps itakuwa zinakula data hata kama haujazifungua usiwalalamikie Voda check your phone pia punguza mi application ambayo unaona haina kazi.. halafu usikute umeweka 4G unakuja kulalamika huku unafikiri 4G inakula pipi ndugu..? Ile inatafuna mb haswaa..
Atakuwa ameweka Auto update kule playstore, akifungua tu data, matumizi yanaanzia kule kwanza
 
Ukitaka kuwakosoa hawa viongizi wetu, Jani ni muhimu ili kupata ujasiri unapoambiwa "unanijua mimi ni nani?"
 
Tangu Vodacom Tanzania wapunguze Bundle wamekuwa na tabia ya kutokutuma ujumbe wa kiasi cha bundle ulichonunua, thamani yake na muda wa matumizi! Nimejaribu kuwasiliana nao bila mafanikio.

Jana nikajiunga tena na bundle ya week ya Tzs 3,000 ila sijapokea SMS tena inayoosha thamani, kiwango na muda wa matumizi. Kwa bahati mbaya sana mchana huu wananiambia kifurushi kimeisha!

Na Jana muda mwingi SAna nilikua offline. Kimetokea nini? Nimenunua tena mchana huu issue iko pale pale.

Na hii niliwahi experience Mara kadhaa huko nyuma. Ukinunua kifurushi halafu hupati SMS alert basi ujue hio bundle haina uhai mwingi.

Ukiwapigia ukabahatika kuwapata, sana majibu ya kukaririshwa mno! Hawanaga msaada wowote.

Anyway, nimenunua tena wacha tuendelee kunyanyaswa.
Mitandao ipo kibao, kama unaona voda ni kabila huwezi badili endelea kukamuliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom