Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,422
- 85,857
Tangu Vodacom Tanzania wapunguze Bundle wamekuwa na tabia ya kutokutuma ujumbe wa kiasi cha bundle ulichonunua, thamani yake na muda wa matumizi! Nimejaribu kuwasiliana nao bila mafanikio.
Jana nikajiunga tena na bundle ya week ya Tzs 3,000 ila sijapokea SMS tena inayoosha thamani, kiwango na muda wa matumizi. Kwa bahati mbaya sana mchana huu wananiambia kifurushi kimeisha!
Na Jana muda mwingi SAna nilikua offline. Kimetokea nini? Nimenunua tena mchana huu issue iko pale pale.
Na hii niliwahi experience Mara kadhaa huko nyuma. Ukinunua kifurushi halafu hupati SMS alert basi ujue hio bundle haina uhai mwingi.
Ukiwapigia ukabahatika kuwapata, sana majibu ya kukaririshwa mno! Hawanaga msaada wowote.
Anyway, nimenunua tena wacha tuendelee kunyanyaswa.
Jana nikajiunga tena na bundle ya week ya Tzs 3,000 ila sijapokea SMS tena inayoosha thamani, kiwango na muda wa matumizi. Kwa bahati mbaya sana mchana huu wananiambia kifurushi kimeisha!
Na Jana muda mwingi SAna nilikua offline. Kimetokea nini? Nimenunua tena mchana huu issue iko pale pale.
Na hii niliwahi experience Mara kadhaa huko nyuma. Ukinunua kifurushi halafu hupati SMS alert basi ujue hio bundle haina uhai mwingi.
Ukiwapigia ukabahatika kuwapata, sana majibu ya kukaririshwa mno! Hawanaga msaada wowote.
Anyway, nimenunua tena wacha tuendelee kunyanyaswa.