Vodacom nawahama leo nimewachoka!

Vodacom nawahama leo nimewachoka!

Laini yao siweki vocha zaidi ya miezi miwili sasa
Na mimi hawata pata tena hela zangu yaani wamenitibua hatari
Kufurushi cha uni walikitoa wakanibakizia cha
3000=2GB+ dakika+SMS(wiki)
dakika hua sizitumii hata wakizitoa ila waongeze MB's. Yaani hiki kifurushi hua najibana siangalii videos wala ku download file kubwa labda audios tu ili kimalize wiki lakini hakitoboi koo kwa wiki naunga viwili.

Sasa walivyo miqundu migumu kama ya chonja jana wakapunguza ten MB's zikabaki 1.2GB

Kifurushi changu kikiisha natupa na laini ya voda.
 
aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
Lazima mchangie Uchaguzi mkuu, sasa tutoe wapi hela? kwani tuliwaomba mtuchague? hata leo hatutaki kura zenu na Ikulu tutaenda. sababu hakuna mwingine zaidi ya ccm, lile si bao la mkono, sasa ni bao la matako. shenzi zenu
 
Back
Top Bottom