Vodacom nawahama leo nimewachoka!

Vodacom nawahama leo nimewachoka!

mziray45

Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
27
Reaction score
30
aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
 
Mimi nilikua mteja wao saivi internet natumia halotel.
Nashangaa juzi voda wamenipigia simu kunisisitiza niendelee kitumia vfirush vyao vya internet maana nilikua na matumizi mazuri..
Sikuwajibu nilkata simu.
 
Hichi unachokifanya ni kama kelele za bawaba hazimzuii mwenye nyumba kutumia mlango wake. Mkuu ukiona kila wakati wanaongeza gharama ujue wana wateja wengi. Ukiona wanaanza viofa vya hapa na pale kama mvua za vuli ujue wamepungukiwa na wateja kwahiyo wanawavuta. Kikubwa na kuhama ili wateja wapungue.
 
aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
Hakatwi mtu hapa .
 
Yani mtu anakupa ofa alafu unataka kumpangia kiwango cha ofa
aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
 
Jamaa wapo hovyo kinoma.
Huwezi kununua kifurushi kimoja miezi mitatu mfululizo kwa gharama ileile.
Sijui ni roho mbaya au ni dharau.

Kila siku menu inabadilika, bei za vifurushi zinabadilika. Hawana kitu cha kudumu.
Nawasikilizia mwezi mmoja wasipoweka mambo sawa nahama mazima, line itabakia kwa ajili ya miamala kwa muda then naitupa kapuni.
 
Mimi nishahama nina wiki tatu sasa natumia tigo kifurushi cha saizi yako basi na moesa situmii tena line niiaxha kwa kupokelea simu tu basi sipigi wala data situmii kwao
Nimekua mteja wao kwa miaka 10 nimevumilia ila walikuja kunipa kifurushi cha 2500 etib 800 nikaapa sitaweka salio wala hela kwao
 
aisee huu mtandao umeongeza sana gharama za MB zamani walikuwa wananipa Gb 1 Kwa buku kwa ofa za Uni sasa hivi Gb 1.5 kwa wiki kwa buku 5 aisee nani mwenye uwezo wa kuendelea kutumia internet yenu??? Nimewachoka naenda TTCL
Yani unatoka voda unaenda ttcl?
 
ktk uchumi kuna kitu kinaitwa elasticity, sasa huduma za voda ni za ufanisi kuliko mitandao mbadala so automatically voda huduma zao zinaangukia kundi la inelastic yaani wakipandisha bei kwa 90% idadi ya watumiaji inapungua kwa 10% tu so hata mpige kelele vipi wanajua hamna pa kwenda na dhumuni lao la faida linakuwa limefanikiwa.
 
Mimi nilikua mteja wao saivi internet natumia halotel.
Nashangaa juzi voda wamenipigia simu kunisisitiza niendelee kitumia vfirush vyao vya internet maana nilikua na matumizi mazuri..
Sikuwajibu nilkata simu.
Ungewapa ukweli wao mkuu.
 
Back
Top Bottom