Habuba
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 918
- 1,207
Mi nataka kujaribu lakini bando nlonalo haliishi leoNani ameshafanikiwa kupata net free kwa kutumia hii app hiii
Mi nataka kujaribu lakini bando nlonalo haliishi leoNani ameshafanikiwa kupata net free kwa kutumia hii app hiii
Mbona mkuu hunujib inboxkuja pale inbx
Nani ameshafanikiwa kupata net free kwa kutumia hii app hiii
Bundle maana yake ni furushi au kifurushi.Units ni Kama unapo nunua umeme unapewa units so kwa lugha tulio izoea ndo uwa tunaita bundle
Ttcl angalau
Kwani ni mzuri?Duh kila mtu anapandisha gharama ktk huduma zake mbona tutanyooka awamu hii au ndo wanafanya kumkomoa Magu ili utawara wake uonekane mbaya !??
Bora tukaifahidi kodi yetu tu narudi nyumbn
Samahani , naomba screenshot ya vifurushi vya mwezi vyenye MB na dk.
Mdudikoo MdundikoooTunaisoma?
Wanaisoma?
Wayaaa
Wayaaaa
Tunasomana kifo cha mende chali
Walikua poa ila nao wameiga uhuni wa kupandisha bei ya vifurushi vya chuoNataka nihamie TTCL, vipi wakuu wanavifurushi vizuri?
Weeeee babaMdudikoo Mdundikooo
Mdundikoo Mdudikooo
Wayaa mkali wayaa
JARIBU MITANDAO MBALIMBALI KAMA TIGO, VODA, HALOTEL, AIRTEL NK, HAKIKISHA KABLA YA KUFANYA DATA YAKO IKO ON View attachment 877506
Ninachofahamu VPN inakula sana bundle na pia ni kwa ajili ya security na si data za bure.Umeona hapo eee in a connect ila salio au mb ziliisha na vpn ilakata kwa iyo huu ni uongo mkubwa hamna net ya free duniani. View attachment 877567View attachment 877568View attachment 877569View attachment 877570