Vodacom nao wapandisha bei vifurushi

Vodacom nao wapandisha bei vifurushi

Subirini niwafundishe kutumia Internet bure saivi niko njiani nikifika nikitulia nitawafundisha vp kutumia Internet bure, ni kitu cha dakika 0 tu mm niko nje ya Tz ila pengine huenda na mitandao ya uko inakubali hivi tunavyofanya huku
Make huku jahazi linazama
 
Pia ukiona haiconnect bas restart your phone uconnect tena
Mkuu hamna net ta bure au acha kutudanganya navojua mm vpn ni makampuni yanaouza net nchi mbalimbali kwa iyo unanunua na sio kutumia free hapana mim natumia net ya your freedom vpn hii nalipia na ukapewa saa 1 ya trail ni free ikiisha net inakata kwa iyo hata hii yako nimeconect ikakubal ila salio la mb lilipoisha tu na vpn yako ikakata na ina load tu kuwa ina connec lakin hamna ukiwe tena salio inakubal kuconnect salio likiisha tena nayo inakata kwa iyo huu ni uongo mkubwa umetudanganya watz na wanajanvi wenzako sio poa wala cjapenda au labda hii vpn niya mahuck unataka tuhakiwe!!!???
Na kama kuna aliefanikiwa kuconnect bila salio wala mb alete hapa ushahidi .
 
Umeona hapo eee in a connect ila salio au mb ziliisha na vpn ilakata kwa iyo huu ni uongo mkubwa hamna net ya free duniani.
Screenshot_20180925-164721.jpeg
Screenshot_20180925-162549.jpeg
Screenshot_20180925-165036.jpeg
Screenshot_20180925-162549.jpeg
 
Mm ndio ninayotumia hiyo mkuu huku Uengereza usinite muongo pia Nina marafiki zangu nchi mbalimbali wanatumia hio bila ya mb, FREE INTERNET
Mkuu hamna net ta bure au acha kutudanganya navojua mm vpn ni makampuni yanaouza net nchi mbalimbali kwa iyo unanunua na sio kutumia free hapana mim natumia net ya your freedom vpn hii nalipia na ukapewa saa 1 ya trail ni free ikiisha net inakata kwa iyo hata hii yako nimeconect ikakubal ila salio la mb lilipoisha tu na vpn yako ikakata na ina load tu kuwa ina connec lakin hamna ukiwe tena salio inakubal kuconnect salio likiisha tena nayo inakata kwa iyo huu ni uongo mkubwa umetudanganya watz na wanajanvi wenzako sio poa wala cjapenda au labda hii vpn niya mahuck unataka tuhakiwe!!!???
Na kama kuna aliefanikiwa kuconnect bila salio wala mb alete hapa ushahidi .
 
Mkuu hamna net ta bure au acha kutudanganya navojua mm vpn ni makampuni yanaouza net nchi mbalimbali kwa iyo unanunua na sio kutumia free hapana mim natumia net ya your freedom vpn hii nalipia na ukapewa saa 1 ya trail ni free ikiisha net inakata kwa iyo hata hii yako nimeconect ikakubal ila salio la mb lilipoisha tu na vpn yako ikakata na ina load tu kuwa ina connec lakin hamna ukiwe tena salio inakubal kuconnect salio likiisha tena nayo inakata kwa iyo huu ni uongo mkubwa umetudanganya watz na wanajanvi wenzako sio poa wala cjapenda au labda hii vpn niya mahuck unataka tuhakiwe!!!???
Na kama kuna aliefanikiwa kuconnect bila salio wala mb alete hapa ushahidi .
MM NATUMIA INTERNET BURE KWA HIO PSIPHON, tena watu wengi wanatumia hio app kwa internet free
Screenshot_20180925-160608.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom