King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,433
- 88,780
Tigo pesa nao wamepandisha gharama kwa Tsh 50.
Mkuu asante for sharing this with us.MM NATUMIA INTERNET BURE KWA HIO PSIPHON, tena watu wengi wanatumia hio app kwa internet freeView attachment 877644
Mkuu ukiona hivyo huo mtandao una kitu kinaitwa UDP open port hii njia ya VPN mitandao mingi ya kibongo walishashtukiaMm ndio ninayotumia hiyo mkuu huku Uengereza usinite muongo pia Nina marafiki zangu nchi mbalimbali wanatumia hio bila ya mb, FREE INTERNET
Ndo ivo mkuu jamaa katulisha matongo pori aiseeHata mimi kwangu imeconnect lakin mb zinapungua nimeswitch kwenda laini ambayo haina mb imegoma kufungua
Duh kila mtu anapandisha gharama ktk huduma zake mbona tutanyooka awamu hii au ndo wanafanya kumkomoa Magu ili utawara wake uonekane mbaya !??Tigo pesa nao wamepandisha gharama kwa Tsh 50.
Tunaishi kama mashetani tunapigwa kote kote.Duh kila mtu anapandisha gharama ktk huduma zake mbona tutanyooka awamu hii au ndo wanafanya kumkomoa Magu ili utawara wake uonekane mbaya !??
Hataree sanaVoda wameamua kupandisha hadi university offa ...kwel hakuna pakukimbilia
Sisi tena kwa kupenda mseleleko mkuu acha bhn tujifunze kupenda kulipia bill zetuSubirini niwafundishe kutumia Internet bure saivi niko njiani nikifika nikitulia nitawafundisha vp kutumia Internet bure, ni kitu cha dakika 0 tu mm niko nje ya Tz ila pengine huenda na mitandao ya uko inakubali hivi tunavyofanya huku
Psphon handler tulikuwa tunakamua na halotel ila ilishabuma zamani so sidhani kama italeta access kwa sasa!!Futa step izi, KWANZA HAKIKISHA DATA YAKO IKO ON, NENDA KWENYE GOOGLE PLAY STORE NA DOWNLOAD APP INAYOITWA PSIPHON , UKISHAIDOWLOD IFUNGUE , ALAFU NENDA KATIKA KITU KIMEANDIKWA OPTION, KATIKA SEHEMU HIO UTAKUTA KUNA NCHI MBALIMBALI ILA NAHISI TZ HAIPO WW UTACHAGUA HIO YA KWANZA AMBAYO IMEANDIKWA (BEST PERFORMANCE) UTAIBONYEZA, ALAFU NENDA KWE START BONYEZA HIO START KIKIJA HICHO KIUFUNGUO KAMA UNAVYOKIONA KWENYE SCREENSHORT YANGU BASI NDIO UNATUMIA INTERNET BURE KUANZIA APO MPAKA MAISHA YAKO YOTE, Isipokubali katika mtandao huo unaotumia jaribu kutumia lain tofauti coz nahisi sio lain zote inakubali nahisi kama watu wa India wanatumia Airtel kwa hio application (PSIPHON) mm huku niliko natumia mtandao wa o2View attachment 877494View attachment 877495View attachment 877496View attachment 877497
Mkuu ukishamaliza unazima data au unaacha data onPia ukiona haiconnect bas restart your phone uconnect tena
Ndo ivo mkuu jamaa katulisha matongo pori aisee
Wanavifurushi vizuri??Tigo
Utanifaa sana mkuuSubirini niwafundishe kutumia Internet bure saivi niko njiani nikifika nikitulia nitawafundisha vp kutumia Internet bure, ni kitu cha dakika 0 tu mm niko nje ya Tz ila pengine huenda na mitandao ya uko inakubali hivi tunavyofanya huku
Ni vifurushi vya chuo laini yako inatakiwa iwe ya chuo *149*42#Hivyo vifurushi unavipataje?
Ndo nakaribiakuja pale inbx