sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,763
Ha ha haaa! Hata sisi mawakala ndo wanavyotwambiaga hivi! Hivi hela inakaa vipi hewani? Hela ni lazima ukae kwenye account! Kqma haipo kwenye account ya receiver basi imebaki kwenye account ya sender, otherwise ipo kwenye account ya Voda. Sasa inakuwaje hewani? Kwenye account ipi? Inaelea tu! Ha ha haaaaa! Matter core yao Vodacom!Nimewapigia jioni hii wanasema hela iko hewani haijafika kwao wala kwangu haipo hivyo niwe mpole