Geba wee mtoto wa kiume usipende kuendeshwa na mwanamke. Akipigiwa simu na sauti ya kike. mwambie huyo alikua mpenzi wangu wa zamani lkn tuliachana. sio unaipigia papuchi magoti hawa wadudu wakishajua wewe ni dhaifu kwao utakula makande siku ya eid el fitr