kachwankizi
Member
- Sep 9, 2024
- 83
- 129
Kuiba ni kuchukua kitu cha mtu bila ridhaa yake.
Kampuni ya Vodacom mnaiba kupitia songesha. Mtu anakuwa hajaomba kusongesha lakini anashtukia anapata ujumbe kuwa kiasi fulani kimekatwa kwa ajili ya songesha. Rejea mlio wakata leo bila kuomba hiyo huduma na mimi ni miongoni mwao.
Kampuni ya Vodacom mnaiba kupitia songesha. Mtu anakuwa hajaomba kusongesha lakini anashtukia anapata ujumbe kuwa kiasi fulani kimekatwa kwa ajili ya songesha. Rejea mlio wakata leo bila kuomba hiyo huduma na mimi ni miongoni mwao.