Kwa mtazamo wangu karibu mitandao yote ya simu kwa kipindi hichi garama za vifurushi zaidi upande wa data au internet wamepandisha sana kwa kweli. Wanao pona kidogo wale wanao tumia wifi maofisini ila kwa kutumia mitandao hali sio nzuri. kama pia una chunguza vizuri vifurushi vya mwezi yani muda wa maongezi umegawanywa kuna mchana na usiku sasa najiuliza mbona kama tuna rudishana enzi za kale, kifurushi na nunua ili kufanya maongezi kutwa kwa ajili ya kushughuli za kiofisi, mnavyo kigawa kingine kianze saa nne usiku sio ungwana kabisa, muda huo, huwa tuna kazi zingine huko vyumbani sio kuongea na simu hayo mambo niya watoto wa secondary na wana vyuo tafadhali.