wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,494
- 29,282
Pole basi nadhani kila mteja atakuwa anapewa ofa yake kulingana na matumizi ya internet.Kwangu haipo hiko kifurushi. Nikienda kwenye namba 2 nakuta vifurushi vya ovyo tu. ila nikiingia kwenye UNI offer kuna kifurushi cha 1,500/= gb 1 na dakika kwa siku 7View attachment 1564875View attachment 1564887
Hata hiyo wanayokupa ni nzuri ila kwangu hainifai maana natumia sana internet kuliko huo muda wa maongezi wanaonipg.b moja kwa siku hainitoshi kabisa