Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Swahiba, pale hata angeshinda yupi hakuna aliyekuwa na sifa za kushinda miss world. Ushauri wangu ni kwa wanaJF mwakani wapige jaramba. Kina Firstlady1, Nyamayao, MJ1, Maria Roza, Sugar la ukweli....... mpo? Don't let us down bana. Mnazo sifa zoooote! Twendeni vitani. Siasa hatuiwezi kwa kuwa imekamatwa na mafisadi. Tuangalie upande wa pili, Ulimbwende!
khaaa nimecheka sana....na Nyamayao nae?...hatari kubwa.