Vodacom this is too much , Jaman mtandao gan una nafuu ..?
Nimeshindwa kuvumilia
MB 1 hata picha hudownload ..
MB 1 hata page ya site yenu wenyewe hai load ikaisha
MB 1 si inaisha hata Google haijakuletea majibu .?
Naomba kuwatorokai .. Ni mtandao gani una nafuu .?
Nimeshindwa kuvumilia
MB 1 hata picha hudownload ..
MB 1 hata page ya site yenu wenyewe hai load ikaisha
MB 1 si inaisha hata Google haijakuletea majibu .?
Naomba kuwatorokai .. Ni mtandao gani una nafuu .?