Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 776
- 306
Nilikua nauamini na kuutegemea mtandao huu wa vodacom m~pesa ila kwa siku hizi 2 umenifanya nikose imani na wamenisababishia usumbufu ambao sijui nani atanilipa nimehamisha fedha kwenda kwa wakala imepita saa 1 sasa hazijafika tatizo network to hell...aarrrgghh