Vodacom kuna nini....network imekata ghafla!

Vodacom kuna nini....network imekata ghafla!

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
2,326
Reaction score
1,315
Hi wana voda!

Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!
 
Hata dom mtandao uko ovyo sana,kuweka vocha au kuangalia salio lzm ukeshe mpka ufanikiwe!!
 
Hi wana voda!

Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!
Ni kweli mkuu, network ilikuwa inasumbua toka asubuhi, lakini kwa sasa naona wamerekebisha
 
There is a countrywide Vodacom network outage since 09h32. CDN team are trying to work on service restoration, All service has been affected inclusive NetAct & SWA.

Ndo message ya vodacom hiyo wametutumia hapa ofisini kwetu kibanda cha kuuza vocha karibu na matakomatako bar
 
Hi wana voda!

Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!

Kumbe wengi imetukumba? Nilikuwa Muhimbiri ghafla network imekata nikajua kimeo changu kimekata! Ila naona sasa wamerejea
 
Ama ndo share za Rost tamu za azizi zimeanza kuaffect service
 
daah!hiyo 4G si bora wangeileta ktkk ya mwaka huu kabla mambo hayajaharibika tukala kuku kwa mrija
 
Yeah, hata mm niliona, ilikua inalegalega, ila now iko safi!
 
Iwe huduma ya Cheka Bombastiki, M-PESA, kuuliza salio, kupiga/kupokea simu na kutuma ujumbe mfupi vyote valu valu tu.... Naona hawa jamaa wameanza kupoteza mwelekeo. Nao wanataka kuwa kama 0741?
 
Back
Top Bottom