LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
stineriga yani nashukuru kwa kunisaidia kusemea tatizo hili.
Mi nilijua ni Mi mwenyewe kumbe tuko wengi,loh Mi sijawahi ona matatizo kama haya ingali tupo Ulimwengu wa DIGITAL.
Ingali mara nyingi ni na simu ila cjawahi onaga tatizo hili,ila kwa kuwa tuna wakuu wetu wazuri sana hakika hata hili litaisha mara moja!
Cc kwa;
Invisible
Paw
Na Mods wote walengwa!
Kumbukeni serikali ya mafisadi ina ujio mkubwa kama mnavyoelewa wajamen!
Kila la Kheri Wakuu!
Mi nilijua ni Mi mwenyewe kumbe tuko wengi,loh Mi sijawahi ona matatizo kama haya ingali tupo Ulimwengu wa DIGITAL.
Ingali mara nyingi ni na simu ila cjawahi onaga tatizo hili,ila kwa kuwa tuna wakuu wetu wazuri sana hakika hata hili litaisha mara moja!
Cc kwa;
Invisible
Paw
Na Mods wote walengwa!
Kumbukeni serikali ya mafisadi ina ujio mkubwa kama mnavyoelewa wajamen!
Kila la Kheri Wakuu!
Last edited by a moderator: