Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,981
- 12,997
Hapo utawalaumu bure ...
Hamna kesi hapo zaidi utaonekana wewe ni mwizi..
Hamna kesi hapo zaidi utaonekana wewe ni mwizi..
Wewe.mwizi huwezi chukua pesa ya mkeo Vodafone hawatambui mkeo laini ya simu kila mtu yake.Nenda kashtaki popote mjinga weweNlishakosea sasa ndo hela yangu ipotee,..je itaenda wapi ?..na wao ndo wenye mtandao
Fanya hivi..pesa utaipataMwambie mkeo aimiliki tena kisha wamrudishie 30,000 yake. Kisha aitoe kisha u-renew tena
Ila nawewe tumia akili, unadai vipi pesa ambayo hukuiweka wewe? Ilitakiwa mke akwangue pesa yote kabla ya kufuta usajili, maana hiyo oesa inaonekana ni yake, na yeye ndiye anapaswa kuidai, ambapo ataulizwa, alifuataje usajili wakati kuna pesa?Habari IPO namna hii,
Mimi ni mwenyekiti wa kikundi Fulani na watu huwa wanatuma pesa zao kwenye akaunt yangu kwa ajili ya kuwalipia M-Koba..
Laini nnayoitumia nliisajili kwa kitambulisho cha nida cha mke,. Nikaona isiwe kesi ,mke afute usajili ili nisajili kwa kitambulisho changu..na wakati huo akauntu ilikuwa na sh.30000..
Cha kushangaza Mara baada ya mke kufuta usajili na nikasajili kwa kitambulisho changu ile 30000 wakaifyeka, nikawapigia wakasema niende voda shop iliyo karibu yangu niwaeleze watanipa fomu nijaze nikafika walichonijibu wanasema nihesabu nimepoteza hiyo hela na nikiitaka basi niende mkoani kampuni ya voda naomba chonde chonde rudishen pesa hiyo haraka kabla sijawaburuza mahakamani
HujWewe.mwizi huwezi chukua pesa ya mkeo Vodafone hawatambui mkeo laini ya simu kila mtu yake.Nenda kashtaki popote mjinga wew
Hujaelewa basi tulia,.ningedai vipi hela ambayo sijaiweka?..Ila nawewe tumia akili, unadai vipi pesa ambayo hukuiweka wewe? Ilitakiwa mke akwangue pesa yote kabla ya kufuta usajili, maana hiyo oesa inaonekana ni yake, na yeye ndiye anapaswa kuidai, ambapo ataulizwa, alifuataje usajili wakati kuna pesa?
Unaweza Kuta gharama ya kwenda mkoani inafika 25000Gharama za kuwaburuza mahakamani ni kubwa kuliko za kwenda mkoani, fuata ushauri