Vodacom Hawajitambui.

Airtel haina 4G. Ina 3G tu.
 
Karbu tgo mzee. Hizo 10 gb unazipata kwa 10k tu. Plus madakika na mbs kibao. Kwa mwez mzima
Nina laini ya tigo toka wakati wa Buzz. Almost miaka 15 sasa.

Ila ipo kwa ajili ya kupokea.
 
Hapo kwenye update
umenivunja mbavu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…