Kwa kweli voda wamekuwa vichomi. Sema tuu hatuna sehemu ya kusemea haya. Mahali wanakera ni kwamba unaeweka vocha sana ndio unazidi kupandishiwa bei na asiyeweka kabisa anazidi kushushiwa. Baada ya kuchoka niliamua kuhamia hallotel ikawa nafuu kukiko voda.
Sijui wamewaza nini. Narudi zangu Tigo na mimi. Kwanza wanavyoiba sasa. Hizo MB 500 utatumia whatsapp tu ila masaa 8 hayaishi eti umemaliza.
Kumbafu zao
voda nishawakimbia wanasumbua sana, pia customer care za Moshi ni mbuvu dunia nzima, waudumu wanajibu vibaya hasa kwenye jengo jipya la NSSF kunajamaa mmoja mnene mnene hivi anajisikia vibaya sana usipo jizuia lazima utoke umekasilika ukiingia ofice zao and than they don't care VODACOM MOSHI JILEKIBISHEN BORA UWENDE KWA VISHOKA KU RENEW LAINI KULIKO KWENDA OFICIN KWENU