Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Imekuwa sasa kila mwezi kwa vodacom kupandisha cost za vifurush vyao.
Leo nimeshangaa kuona gharama kuongezeka mara dufu.
1000Tsh ilikuwa 400MB
2000Tsh ilikuwa 2500GB
2500Tsh illikuwa 1.2GB
Kweli hali hi inaendana na uchumi wa kati?
Tushauriane ni wapi kuna vifurush nafuu vya internet.
Leo nimeshangaa kuona gharama kuongezeka mara dufu.
1000Tsh ilikuwa 400MB
2000Tsh ilikuwa 2500GB
2500Tsh illikuwa 1.2GB
Kweli hali hi inaendana na uchumi wa kati?
Tushauriane ni wapi kuna vifurush nafuu vya internet.