Vodacom free internet

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
*102*250 ongea bila kikomo msg bila kikomo internet bila kikomo nashusha siku za wikendi saa tano hadi saa moja unatakiwa uwe na 250
 
Free? Na hiyo tsh 250 siyo pesa?

Ahsante kwa kutujuza, ni kweli ni bila kikomo au kuna limit? Je umefanikiwa kushusha GB gapi kwa njia? Ila hii kitu itakulazimu kupoteza usingizi ambao kwangu ni wathamani sana.
 
Hakuna net inayoboa kama hiyo ni bora wafunge tu, ikifika saa tano wanafunga 3G hata ukiconect manually, wanatuacha na the slowest internet dunia nzima hakuna, nashusha mzigo 5-9Kbps Hugo harassment mtoto ukimpa hawezi kutumia... Hii ni dharau
 
Hakuna net inayoboa kama hiyo ni bora wafunge tu, ikifika saa tano wanafunga 3G hata ukiconect manually, wanatuacha na the slowest internet dunia nzima hakuna, nashusha mzigo 5-9Kbps Hugo harassment mtoto ukimpa hawezi kutumia... Hii ni dharau

kumbe inatembea speed ya kobe mimi nilifikiri ni full speed. Kweli voda hawawezi kukupa ofa iliyokamili...
 
usiombe hata kupoteza hiyo 250, ipo slow hakuna mfano.
Tumia kwa masaa ya kawaida lakini sio muda waliokuambia.
 
usiombe hata kupoteza hiyo 250, ipo slow hakuna mfano.
Tumia kwa masaa ya kawaida lakini sio muda waliokuambia.

mbona ina speed fresh jombaa nimedownload 3GB toka jana saa 5 usiku hadi saa 1 asubuh
 
*102*250 ongea bila kikomo msg bila kikomo internet bila kikomo nashusha siku za wikendi saa tano hadi saa moja unatakiwa uwe na 250

250 nyingi, free yetu uwa tunamaanisha zero=0=free=bure
 
250 nyingi, free yetu uwa tunamaanisha zero=0=free=bure

hakuna hiyo kitu. hata hizo premium proxy zinauzwa mkulu. u free wetu maana yake kwa bei nafuu ukilinganisha na ile inayolipiwa VAT
 
nime itest hii kitu leo, inapiga full speed. angalia hii hapa screenshot nilicapture.. Screenshot from 2012-07-21 23:29:21.png
 
Hahaha Dah aliezoea vya wizi utamjua tu. Sasa hio si huduma ya mtandao voda wameeka wenyewe?
Hahaha teh teh teeh mkuu jamaa walitegemea wachache ndiyo watakesha na net ila wakijagundua kumbe wajanja hawabundi bali wanatega nyavu zao usiku (torrenz,frostywire+ IDM) then asubuhi wanachukua mavuno kiulaini subiri uone watakavyominya kama siyo kukata kata mkuu!!!
 
Hahaha teh teh teeh mkuu jamaa walitegemea wachache ndiyo watakesha na net ila wakijagundua kumbe wajanja hawabundi bali wanatega nyavu zao usiku (torrenz,frostywire+ IDM) then asubuhi wanachukua mavuno kiulaini subiri uone watakavyominya kama siyo kukata kata mkuu!!!

Hamna bwana wakiwa wengi wao ndo wanafurahi maana wanavokua weng na faida kubwa
 
Back
Top Bottom