Good idea mkuu ila dakika chache zijazo huenda isiwe na maana sana.
Naamini kuna watu kibao wameishapita hapa na tayari wameishapata offer hii. Kama vipi futa hii kitu kama kweli una nia nzuri ya kutusaidia, maana muda huu Voda watakuwa wanafanya mbinu za kuziba uchochoro huu.
Vipi mkuu inakuaje hiyo issuesorry guys,av cleared this 4 privacy reasons,anyways u can just PM and i will help ya provided ur a good guy
NICE TIME:coffee:
ni mwendo wa Pm 2 kaka humu jf msala cku izi.
kaka hii ni haki yako cwezi kukutoza ki2 kdogo.
tanx 4 feedbaq brother