Voda mmekuwa wa ovyo sana

Voda mmekuwa wa ovyo sana

Jimmy son

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
709
Reaction score
1,310
Mimi ni mfanyabiashara, miezi mitatu iliyopita nikashawishika kuongeza huduma ya freelancer kusajiri laini mtandao wa voda, mwezi wa kwanza na pili walinilipa vizuri, lakini mwezi huu hawajanilipa nimejaribu kuongea na Team leader na meneja hakuna sababu walionipa kufanya nisilipwe.
Nimeamua niachane na hii kazi kwa upuuzi wenu
 
Mimi ni mfanyabiashara,miezi mitatu iliyopita nikashawishika kuongeza huduma ya freelancer kusajiri laini mtandao wa voda,mwezi wa kwanza na pili walinilipa vizuri,lakini mwezi huu hawajanilipa nimejaribu kuongea na Team leader na meneja hakuna sababu walionipa kufanya nisilipwe,
Nimeamua niachane na hii kazi kwa upuuzi wenu
As long as nape ni wa hovyo, haya makampuni ya simu lazima yawe ya hovyo maana yanasimamiwa na mtu wa hovyo!
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya haya kwenye clip hii! Mwenye akili unakubali kufa kuliko fedheha hii!

View: https://youtu.be/P-_mx8ys94E
 
Back
Top Bottom