Wakuu hivi ni kwangu tu au kwa wote tunaoishi mitaa ya Tabata Mawenzi?
Kila ikifika kuanzia saa moja jioni hadi usiku wa manane net inakua kimeo yaani hata kufungua google search kwa simu ni shida........ Very slow
Lakini asubuhi na mchana na stream youtube kama kawa
Natumia kifurushi cha unlimited cha buku na kinakuwa bado hata hakijamaliza mb700
Kila ikifika kuanzia saa moja jioni hadi usiku wa manane net inakua kimeo yaani hata kufungua google search kwa simu ni shida........ Very slow
Lakini asubuhi na mchana na stream youtube kama kawa
Natumia kifurushi cha unlimited cha buku na kinakuwa bado hata hakijamaliza mb700