Habari zenu wadau mnaotumia simu kwa matumizi mbalimbali. Mimi pia nawashukuru Wazungu kwa kuleta hii technolojia ya kuwasiliana kirahisi zaidi.
Pamoja na hayo najaribu kuwaza hizi vocha za simu zinatengenezwa wapi? Je, ni kama zinavyotengenezwa pesa kwamba sisi kama nchi (Tanzania) hatuwezi kutengeneza pesa zetu?
Ni teknolojia ipi inatumika kutengeneza vocha? Kuna historia yoyote ile ya kufoji vocha zikafanya vizuri au watu kubuni namba za vocha zikakubali kuingia kwenye simu?
Nawasilisha.
Pamoja na hayo najaribu kuwaza hizi vocha za simu zinatengenezwa wapi? Je, ni kama zinavyotengenezwa pesa kwamba sisi kama nchi (Tanzania) hatuwezi kutengeneza pesa zetu?
Ni teknolojia ipi inatumika kutengeneza vocha? Kuna historia yoyote ile ya kufoji vocha zikafanya vizuri au watu kubuni namba za vocha zikakubali kuingia kwenye simu?
Nawasilisha.