ubora wa hizo vocha sio mzuri, ni mara chache sana utakwangua bila kuharibika. kwa wasiige mfano wa ubora wa mpinzani wao "kazi ni kwako"?
hama kwani lazima utumie huo mtandao?
Aisee ni kweli. Hata mimi imenitokea. Moja nilinunua mkoani ikaharibika na nilipowapigia wakanijibu hizo pumba, nyingine nimenunua juzi hapa hapa Dar yakatokea yaleyale.
Inaonekana hizo vocha zina matatizo.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Dah.. Hiyo ni bora kuliko haya ya kukwangua... Heri yako mkuu.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
......Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.
Nimetimiza mwaka mmoja sasa bila kununua vocha za kukwangua. Naingiza pesa kwenye akaunti yangu ya simu halafu najimiminia tu.FAIDA ZAKE 1.Naokoa muda 2.Napata bonasi kama vile dakika za bure na sms.