trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
- Thread starter
- #21
ukiwa na coin unakwangua lightly, sio utumie miguvu mpaka jasho linakutoka. Si kwa airtell tu bali mitandao yote
Sawa sijakataa.. Ila.. Kuna kitu kinaitwa malalamiko baada ya kuathirika.. Mi nimeanza kutumia simu ya mkononi tangu 2000. Mambo ya vocha mpaka nalalamika,ni kwamba yamenikuta na mpaka napost uzi huu,ni baada ya kusikia wengine wameathirika,na kuona mwenzangu akinunua mara mbili vocha.
Kwa maana hiyo suala si kukwangua kwa nguvu,maana vocha haziuzwi benki ili tuseme tukwangue kwa nidhamu. Hivyo nguvu hutegemea na mazingira unayoweka vocha yako. Wengine wanakwangulia juu ya goti,kwenye dash board ya gari,wengine hugeuza simu zao na kukwangulia juu yake,wengine wanatumia mchanga,wengine wanakwangua huku wakitembea..
Na wasipate matatizo yeyote na vocha nyingine isipokuwa za Airtel,tena za buku...
Anyway,ni mojawapo ya maoni...