digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,921
- 14,429
Tangu huyu bwana anyolewe nywele zake amekuwa wa kubwabwaja tu ka hayawani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapima output na sio quantityNi mpuuzi tu atakae msikiliza DJ Kwanza utaanzaje kumfananisha raisi amiri jeshi mkuu na huyo mwenyekiti wa cdm
Nimeyapenda sana majibu yakoWaache kwanza wenye akili watoe maoni yao. Usiharibu mjadala mwanzoni. Sidhani kam hii hoja inawahusu pia wenye upungufu wa kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani anaye furahia Corona zaidi ya chadema? Mbona hii iko wazi mnashindana kufungua nyuzi za kuchekelea watu wanao kufa kwa korona na kulalamika kwanini zinatolewa taarifa za vifo vichache najiuliza mnataka vifo vingi ili iweje? Halafu shule umesomea ujinga au ni amiri jeshi mkuu sio amri jeshiMkuu ndio tatizo lenu hilo mnaharaka ya kutetea upuuz alafu unashindwa kuona ulipokosea na umeandika paragraph ya mistari mitatu tu ? . Haitwi amiri jesh ni Amri Jesh mkuu , amiri ni Kiswahili cha wapi ?
Okay ngoja turud kwenye mada ? unajua kinachoikwamisha ccm kwenye mambo mengi ? Ni hawatak kusikiliza ushaur wa wapinzani hata kama una mantic na maslahi kwa Taifa hili, na hii corona kwasasa sio kitu utakuja kuiona kitu pale itakapopiga one of your family member na ndio utajua hakuna sehemu ya kujificha, watu badala muwe na umoja ili muweze kuishinda kwa pamoja ccm na chadema mnaleta mashindano, watu wakifa nani atapiga kura ?
Narudia tena wakati corona hata haijaingia Tz mbunge wa IRINGA Msigwa aliomba bunge liache ishue zingine wadiscuss mikakati ya namna ya kupambana nayo, wakadharau, hapa tukawa bado hatujachelewa tulivyokuwa na mgonjwa mmoja wakina Lema wakaomba safari za ndege kutoka nje zipigwe stop yan ndege za abiria labda za cargo tu ndio ziwe zinakuja serikali ya Magufuli ikakataa, Tukawa bado hatujachelewa Akaongea yule mbunge wa tarime kuhusu hili swala pamoja na kuomba wabunge wote wapimwe bado hawakusikiliza haya sasa hawasikilizi wao mipngozo yao ni ipi ? wanasema tujifukize ivi kweli hii iko sawa ? na wanasema wakati tushachelewa.
Ukitaka kujua Tanzania ina utani na hili swala ni iko hivi wakati tuna wagonjwa 54 kenya walikuwa na 254, sisi leo tuna 450+ wao wako kwenye 300+ , na huyo Amiri jesh(kama wewe unavyomwita) kakimbia jesh kajificha kwao asa hapo kuna uamri jesh au vipi ?
Duniani ni sisi pekeetu tunaenda viceversa, na kichekesho kitakachokuja kutokea ni kwamba wakati nchi zote zitakuwa zinarecover sisi mambo yatakuwa yamepamba moto sasa apo ndio tutakapo tengwa ila kwakuwa ninyi mmefundishwa kuimba mapambio ya kusifu hili hamlion na sababu hamna exposure hamwez kuelewa mpaka msikie linatokea.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nani anaye furahia Corona zaidi ya chadema? Mbona hii iko wazi mnashindana kufungua nyuzi za kuchekelea watu wanao kufa kwa korona na kulalamika kwanini zinatolewa taarifa za vifo vichache najiuliza mnataka vifo vingi ili iweje? Halafu shule umesomea ujinga au ni amiri jeshi mkuu sio amri jeshi View attachment 1434973
Hapa sijui nani ni mpuuzi wewe uliyeandika kama kasuku au unayemtukuza na kumwabuduNi mpuuzi tu atakae msikiliza DJ Kwanza utaanzaje kumfananisha raisi amiri jeshi mkuu na huyo mwenyekiti wa cdm
Wajinga ninasubiri wenye hekima tunakoment kwanza mnajaza nafasi bureNi mpuuzi tu atakae msikiliza DJ Kwanza utaanzaje kumfananisha raisi amiri jeshi mkuu na huyo mwenyekiti wa cdm
Duh umemvua nguo huyo kichwa maji si kwa uchambuz huo iyo tunaita 3.--0Mkuu ndio tatizo lenu hilo mnaharaka ya kutetea upuuz alafu unashindwa kuona ulipokosea na umeandika paragraph ya mistari mitatu tu ? . Haitwi amiri jesh ni Amri Jesh mkuu , amiri ni Kiswahili cha wapi ?
Okay ngoja turud kwenye mada ? unajua kinachoikwamisha ccm kwenye mambo mengi ? Ni hawatak kusikiliza ushaur wa wapinzani hata kama una mantic na maslahi kwa Taifa hili, na hii corona kwasasa sio kitu utakuja kuiona kitu pale itakapopiga one of your family member na ndio utajua hakuna sehemu ya kujificha, watu badala muwe na umoja ili muweze kuishinda kwa pamoja ccm na chadema mnaleta mashindano, watu wakifa nani atapiga kura ?
Narudia tena wakati corona hata haijaingia Tz mbunge wa IRINGA Msigwa aliomba bunge liache ishue zingine wadiscuss mikakati ya namna ya kupambana nayo, wakadharau, hapa tukawa bado hatujachelewa tulivyokuwa na mgonjwa mmoja wakina Lema wakaomba safari za ndege kutoka nje zipigwe stop yan ndege za abiria labda za cargo tu ndio ziwe zinakuja serikali ya Magufuli ikakataa, Tukawa bado hatujachelewa Akaongea yule mbunge wa tarime kuhusu hili swala pamoja na kuomba wabunge wote wapimwe bado hawakusikiliza haya sasa hawasikilizi wao mipngozo yao ni ipi ? wanasema tujifukize ivi kweli hii iko sawa ? na wanasema wakati tushachelewa.
Ukitaka kujua Tanzania ina utani na hili swala ni iko hivi wakati tuna wagonjwa 54 kenya walikuwa na 254, sisi leo tuna 450+ wao wako kwenye 300+ , na huyo Amiri jesh(kama wewe unavyomwita) kakimbia jesh kajificha kwao asa hapo kuna uamri jesh au vipi ?
Duniani ni sisi pekeetu tunaenda viceversa, na kichekesho kitakachokuja kutokea ni kwamba wakati nchi zote zitakuwa zinarecover sisi mambo yatakuwa yamepamba moto sasa apo ndio tutakapo tengwa ila kwakuwa ninyi mmefundishwa kuimba mapambio ya kusifu hili hamlion na sababu hamna exposure hamwez kuelewa mpaka msikie linatokea.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tunao viongozi wengi wa kuwasikiliza katika taifa hili, lakini kwa sababu siasa ndio maisha basi Leo tuwasikilize viongozi wawili wa kisiasa. Nao ni mwenyekiti wa Chama tawala CCM na Mwenyekiti wa Chama kinachowania Octoba kuingia madarakani yaani Chadema na wote wakizungumzia janga moja la Corona.
Ndio hapo kila mmoja ataona umahiri wa kukabiliana na matatizo, ufariji na uwezo wa kuleta matumaini.
TUWASIKILIZE;
Huyo in mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Huyo in mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa John Magufuli ambaye pia ni Rais wa nchi
Kwa vile wote wanazungumzia tatizo moja la ugonjwa wa corona na nini tufanye sio vibaya kulinganisha namna wanavyo shauri utatuzi bila kujali kuwa mmoja ana mamlaka ya kuidhinisha fedha au watendaji bali tujikite kwenye fikra zao tuu
Ninahakika hakusikiliza, au kama kasikiliza basi uwezo wake mdogo ameshindwa hata kuelewa.Hapa sijui nani ni mpuuzi wewe uliyeandika kama kasuku au unayemtukuza na kumwabudu
Una uhakika umesikiliza vizuri hawa wawili ukachanganua au umekurupuka tu kujibu bila kujua kimezungumzwa nini!!
Hii ndio shida yenu wenye kusifu na kuabudu
Hujafikwa na msiba wa Corona otherwise usingejibu haraka hivi kama unakimbizwa
Msikilize Jafo hapaTunao viongozi wengi wa kuwasikiliza katika taifa hili, lakini kwa sababu siasa ndio maisha basi Leo tuwasikilize viongozi wawili wa kisiasa. Nao ni mwenyekiti wa Chama tawala CCM na Mwenyekiti wa Chama kinachowania Octoba kuingia madarakani yaani Chadema na wote wakizungumzia janga moja la Corona.
Ndio hapo kila mmoja ataona umahiri wa kukabiliana na matatizo, ufariji na uwezo wa kuleta matumaini.
TUWASIKILIZE;
Huyo in mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Huyo in mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa John Magufuli ambaye pia ni Rais wa nchi
Kwa vile wote wanazungumzia tatizo moja la ugonjwa wa corona na nini tufanye sio vibaya kulinganisha namna wanavyo shauri utatuzi bila kujali kuwa mmoja ana mamlaka ya kuidhinisha fedha au watendaji bali tujikite kwenye fikra zao tuu
Ingawa nae kakosea ni Amiri sio Amri, hilo ni neno la kiarabu tumelitohoa, Amiri ni KiongoziDuh umemvua nguo huyo kichwa maji si kwa uchambuz huo iyo tunaita 3.--0
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimsikiliza vizuri utaelewa kabisa huyu bwana anataka lockdown hata ya wiki moja tu
Ili government i-collapse?Ukimsikiliza vizuri utaelewa kabisa huyu bwana anataka lockdown hata ya wiki moja tu
How?Ili government i-collapse?
Ww akili yako inakwambiaje kwani?Hivi kuvaa gloves sio ndio hatari zaidi?