Vizungu vya masupa staa wa Bongo

Vizungu vya masupa staa wa Bongo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
10710886_949649358381335_2983765940927762615_n.jpg
 
hahahahaha kuna yule mwingine aliandika "Happy Birthday my sun" hapo akimaanisha "son" na mtoto mwenyewe ni wa kike.. Said Fella kama sijakosea
 
Lakini Kizungu cha weza kuwa Kijerumani, au kizungu ni Kiingereza tu.
 
Lakini Kizungu cha weza kuwa Kijerumani, au kizungu ni Kiingereza tu.

Ukisema kizungu unamaanisha kiingereza tu. Maana hata mjerumani akija bongo ataongea kiingereza lugha yake anaiacha huko kwao
 
Shishbabe my foot gagula huna lolote.!!
 
hahahaha
nimecheka hiyo comment hapo eti "wacha wazungu waitwe wazungu " duh

alivyokuja rais wa shirikisho la kijerumani alihutubia kwa kikwao jk kwa kujifanya much no akaongea kidhungu huku wanasema watoto wasome kiswahili shulee za kkayumba
 
Kuongea au kuandika kiingereza ni kipaji...Dada wa watu kapiga za Ugoko mpk Bhaaas, ngoja namimi niandike kidogo Happy Blue Monday
 
Back
Top Bottom