Vizungu vya masupa staa wa Bongo

Vizungu vya masupa staa wa Bongo

Mara nyingi huwa nafuatilia sana,mahojiano ya wadada na wakaka waitwao masupa nyota,wadada wanamadoido sana wanajitia na uzungu huku ni mokorokocho tu.Na cha kuchekesha zaidi ni hizo Caption huko IG,twilla na Fb.


Kama hujui ni bora tu utafute mtu akuharirie kuliko madudu hayo.

Lugha yoyote ngeni huwa ni ngumu tu.
 
Kuna staa mmoja alisema nanukuu " STILL BADO NAWEKA MAMBO YANGU SAWA...." YANI HAPO ILIKUWA live kwenye TV nikacheka balaaa
 
Hahahaha! Nishiiiiida!
Siwaende hata English course!
 
Kuna wimbo mmoja wa bongo jamaa alisema haya, rest and peace for my homeboy........... Yupo home Ame chilling pop naku shampein, anamaanisha kwamba rafiki yake yupo home ametulia, pumzika, rest and peace. Huku ana kunywa kivywaji, shampain
 
Kuna superstar mkubwa kabisa alisema'' thanx be for giving me this award i could like to thank my baby wema sepetu and my best friend lomy john there there on the sit and you can see my manager and nanii oh! Am sorry i mean nanii! Oh! Sorry
 
Hivi hawa wasanii wetu wamezungukwa na watu wa aina gani maana makosa yao ni ya aibu zaidi kwa jamii na wao pia
 
Kuna superstar mkubwa kabisa alisema'' thanx be for giving me this award i could like to thank my baby wema sepetu and my best friend lomy john there there on the sit and you can see my manager and nanii oh! Am sorry i mean nanii! Oh! Sorry

Kaazi kweli....
 
hahahaha
nimecheka hiyo comment hapo eti "wacha wazungu waitwe wazungu " duh

alivyokuja rais wa shirikisho la kijerumani alihutubia kwa kikwao jk kwa kujifanya much no akaongea kidhungu huku wanasema watoto wasome kiswahili shulee za kkayumba

Hahaaa Mkuu Marire naona na wewe umewawakilisha humu.....siyo much "no" ni much "know"....
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa Mkuu Marire naona na wewe umewawakilisha humu.....siyo much "no" ni much "know"....

haahahahahaaa! Jf mwisho wa yote! Umenifanya nicheke aisee!! Kumbe hili tatzo ni kwa wote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom