Viwanja vinauzwa

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,061
281


Vipo Mbezi Msumi kilomita 8 kutoka Mbezi mwisho.Vipo karibu na Kanisa Katoliki kigango cha Mt Teresa Benedicta wa Msalaba. Kuna usafiri wa daladala kutoka Mbezi mwisho mpaka hapo nauli shilingi 400. Kiwanja kimoja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 20 kinauzwa shilingi 3mil.Picha zilizopigwa zinaonyesha taswira ya eneo lilivyoendelezwa. Kwa kuviona au kupatiwa maelezo ya ziada piga simu nambari 0717114409.
 

Attachments

  • IMG_0169.JPG
    IMG_0169.JPG
    1.1 MB · Views: 136
  • IMG_0178.JPG
    IMG_0178.JPG
    66.4 KB · Views: 103
  • IMG_0179.JPG
    IMG_0179.JPG
    66.6 KB · Views: 90
  • IMG_0181.JPG
    IMG_0181.JPG
    75.3 KB · Views: 93
  • IMG_0190.JPG
    IMG_0190.JPG
    67.7 KB · Views: 90
  • IMG_0182.JPG
    IMG_0182.JPG
    62.5 KB · Views: 83
  • IMG_0185.JPG
    IMG_0185.JPG
    54.4 KB · Views: 79
  • IMG_0187.JPG
    IMG_0187.JPG
    44.6 KB · Views: 82
  • IMG_0184.JPG
    IMG_0184.JPG
    62.4 KB · Views: 81
Du Mkubwa inaonekana umeme bado haujafika? Majambazi vp huko? anyway wadau watajitokeza!!
 
Back
Top Bottom