Plot no. 2...bei gani?View attachment 901698
Habari,
Viwanja vizuri, Vinapatikana MSUMI KWA BUNDALA, BEI KUANZIA Tshs. 3,500,000/= MPAKA Tshs. 6,500,000/= (Kama unavyoviona hapo kwenye Picha)
Tuwasiliane kwa Mob. 0654308809
Karibuni sana.....
Plot namba 8 bei gani mkuu?View attachment 901698
Habari,
Viwanja vizuri, Vinapatikana MSUMI KWA BUNDALA, BEI KUANZIA Tshs. 3,500,000/= MPAKA Tshs. 6,500,000/= (Kama unavyoviona hapo kwenye Picha)
Tuwasiliane kwa Mob. 0654308809
Karibuni sana.....
Kimbiji beach nimenunua kiwanja cha square metres 1104 chenye hati kwa Tsh 3.5M,,,,,, wewe unauzaje square metres 900+ kwa milioni 9??Habari
Nauza kiwanja chenye hati Kigamboni - Changani beach
Size - Sqm 900+
Bei - 9 Milioni
Mawasiliano - 0753066664
Mkuu nikutanishe na Mimi na hao watuKimbiji beach nimenunua kiwanja cha square metres 1104 chenye hati kwa Tsh 3.5M,,,,,, wewe unauzaje square metres 900+ kwa milioni 9??
Mkuu hicho chako ndugu yangu anaomba umuuzie kwa 4M nicheki PM fastaaKimbiji beach nimenunua kiwanja cha square metres 1104 chenye hati kwa Tsh 3.5M,,,,,, wewe unauzaje square metres 900+ kwa milioni 9??
Msumi inapatikana mbezi ya kimara... Unafika mbezi mwisho unapanda gari za kwenda msumi nauli sh 500 ila kwa bundala hufiki mwisho wa garimkoagani huo
Vimepimwa? Na uko kwa bundala ndani ndani umeme umeshafika?View attachment 901698
Habari,
Viwanja vizuri, Vinapatikana MSUMI KWA BUNDALA, BEI KUANZIA Tshs. 3,500,000/= MPAKA Tshs. 6,500,000/= (Kama unavyoviona hapo kwenye Picha)
Tuwasiliane kwa Mob. 0654308809
Karibuni sana.....
Market price brother Man Mvia.Kimbiji beach nimenunua kiwanja cha square metres 1104 chenye hati kwa Tsh 3.5M,,,,,, wewe unauzaje square metres 900+ kwa milioni 9??
Kimbiji beach nimenunua kiwanja cha square metres 1104 chenye hati kwa Tsh 3.5M,,,,,, wewe unauzaje square metres 900+ kwa milioni 9??