Viwango vya mishahara-TAWA

Viwango vya mishahara-TAWA

Tanapa hakuna maajabu. Nimefanya kazi huko as a ranger 2013-2015 hifadhi ya Serengeti. Ranger wa tanapa mshahara mdogo tu. Tulikuwa tunatamani tungefanya kazi NCA.
Posho pia ilikuwa kawaida tu.
Reforms zikaongeza posho lakini mfumo mpya kuanzia mwaka juzi sijui mwaka jana wanasema unawaathiri issue za posho.
Nina jamaa zangu niliwàacha huko wako bado mpaka kesho.
Kwasasa sijui mengi ya huko nisije kudanganya
Mhh, mkuu wewe ulifanya kazi TANAPA ipi unayosema hakuna maajabu,,,,
 
Aisee!!! Inamaana hata tuposho twa hapa na pale hakuna?
Posho zipo ...sema sio package kama TCRA au TCAA...Hakuna extra duty itapiga kazi kama kichaa appreciation zero..ila ikipangwa HQ Kule utaenjoy ..wao ndio wanakulaa maisha,uwezi ona mtu wa HQ akipanda staff...wote Ndinga kali...
 
Ha ..ha...au tajiri yoyote apite aache pesa,ila HQ wanaenjoy sana safari nyingi sana.upande wa JNIA ndio njaa..mtu ana miaka 15 hajawahi kusafiri ata kutoka nje ya mkoa..safari ni za kujuana sana .
Julius Nyerere I A akipita mtoto wa Bakhressa aiseee hiyo vita yake sio ya kitoto 🤣🤣🤣
 
Kwani TANAPA zipo ngapi?
Ukitoka LOCAL GOVERNMENT AUTHORITY TANAPA utaona peponi ila ukiiweka TANAPA na ma Giants kama NEC, TRA, TCAA, na wengine utaona kuwa TANAPA hamna kitu
Sawa mkuu nashukuru, ila nakushauri tafuta taarifa zaidi.
 
Back
Top Bottom