Viwanda 1,845 vyaanzishwa mwaka mmoja

Viwanda 1,845 vyaanzishwa mwaka mmoja

Chadema watanyooka tu.

Wamejaa roho za korosho
List ya viwanda uchwara ipo, ambavyo ni viwanda vya kupiga matofali, ushonaji,ususi, welding, furniture.

Hili ni changa la macho. Serikali ya magufuli haina mikakati katika maendeleo ya viwanda.
 
Halafu hivi kale kautafiti ka 1 out of 4 kalifanyika wapi hasa?! Manake kuna mtu namsikiliza hapa (msiniulize ni nani manake sitawatajia)... yaani huyu Mzee staili yake ni kama Dr. Dondi wakati anapopiga promo za tiba mbadala!!!
Dr dondi ana nafuu, kuna huyu wanamwita Dr mwakani.
 
Serikali imetoa taarifa kuwa katika kipindi cha mwaka moja wa Serikali ya awamu ya tano, vimeanzishwa Viwanda vipya 1800. Hata hivyo Serikali inaarifu kuwa hadi sasa Tanzania ina takribani Viwanda 54,000 vinavyofanya kazi. Kwa takwimu hizi Tanzania ina Viwanda vingi kuliko Shule zote za Msingi na Sekondari nchini. Kwa maana hii, Tanzania ya Viwanda ilianza kabla ya awamu ya tano. Sasa, hivi Viwanda vinazalisha bidhaa gani maana bidhaa nyingi tunazotumia zinatoka nje ya nchi.
 
Serikali imetoa taarifa kuwa katika kipindi cha mwaka moja wa Serikali ya awamu ya tano, vimeanzishwa Viwanda vipya 1800. Hata hivyo Serikali inaarifu kuwa hadi sasa Tanzania ina takribani Viwanda 54,000 vinavyofanya kazi. Kwa takwimu hizi Tanzania ina Viwanda vingi kuliko Shule zote za Msingi na Sekondari nchini. Kwa maana hii, Tanzania ya Viwanda ilianza kabla ya awamu ya tano. Sasa, hivi Viwanda vinazalisha bidhaa gani maana bidhaa nyingi tunazotumia zinatoka nje ya nchi.

http://www.nbs.go.tz/nbstz/index.ph...dha-ya-viwanda-kwa-tanzania-bara-desemba-2015
 
Nadhani ufinyu wa misamiati wa lugha yetu nao ni tatizo.
Huyu waziri anaanisha Industry au factory au processing machine au packages manufactures? Viwanda???
 
Serikali imetoa taarifa kuwa katika kipindi cha mwaka moja wa Serikali ya awamu ya tano, vimeanzishwa Viwanda vipya 1800. Hata hivyo Serikali inaarifu kuwa hadi sasa Tanzania ina takribani Viwanda 54,000 vinavyofanya kazi. Kwa takwimu hizi Tanzania ina Viwanda vingi kuliko Shule zote za Msingi na Sekondari nchini. Kwa maana hii, Tanzania ya Viwanda ilianza kabla ya awamu ya tano. Sasa, hivi Viwanda vinazalisha bidhaa gani maana bidhaa nyingi tunazotumia zinatoka nje ya nchi.
Vinazalisha watoto mkuu
 
labda viwanda vya kufyatua mimba, maana maisha magumu wamama wameamia kwenye mabaa wanakaba mpaka buku 2
 
Majaliwa amechuja gafla kumbe alikuwa akibebwa na vile viziara uchwara vya kushtukiza..tokea mizigo ipungue Bandarini haonekani kabisa
 
Kuna Mtu MkubwA Sana Nilimuuliza Viwanda Viko Wapi
NilichojibiwA Ni Kuwa Hata Viwanda Vya Kutengeneza Binzari Vilivyo Nyumbani Kwa Mtu Huhesabiwa
Kigwangala Kakamata Kiwanda Fake Pale Ameturudisha Nyuma Kimahesabu
 
Ila kwa kweli mi hapa ndo sielewi kabisa
Mwanzo walisema viko 52300 na sivioni
Vimeongozeka vimefika 54000 bado sivioni
Ila bila shaka hivi viwanda vitakuwa chini ya ardhi,

Nafikiri hata brenda yangu nikitumia kusaga juice ni kiwanda kinahesabiwa
 
duuh wamehesabu na saloon ya mshikaji wangu, ngoja niwahi kumpa pongeza uwa sina roho mbaya kabisa.
 
Kimoja kipo Sinza cha Pombe.. Kimezinduliwa na naibu waziri wa ukakika wa afya zetu
 
Nadhani ufinyu wa misamiati wa lugha yetu nao ni tatizo.
Huyu waziri anaanisha Industry au factory au processing machine au packages manufactures? Viwanda???
Eti kiwanda kina mfanyakazi 1! Hivi washona viatu, vile ni viwanda?
 
Hahahaa aaaah haaaa....Awamu ya 5 ni Ze Comedy mwanzo mwisho wallah, dah!
 
Ndio chama pekee duniani kilicho tayari kuiona nchi inapukutika chenyewe kinanawiri! 1985 mwlm aliacha viwanda zaidi ya 450 watz mil 29 jmk ameondoka 2015 tuko milion 52 na viwanda chini ya 200 alafu kuna watu wanaisifu ccm.
 
Viwanda vipo 200 ulienda brela au wizarani labda tuambizane takwimu ulipozichukua
 
Back
Top Bottom