hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Nipe hiyo pesa nikakununulie.
Ama kweli kauli mbiu ya #hapakazitu inafanya kazi sawa sawa na utawala mpya.
Nipe hiyo pesa nikakununulie.
Mambo gani???? Achen ubahil wanaume, sasa mtu anataka avae kiatu cha mtumba 8000 ili avae miaka 3 bila kubadilisha kama kalogewa. Hebu nendeni na wakati bhana, sio kuishia kuona pair za viatu za akina fulan kwenye TV.
Kwaheri
njoo pm basi
Makubwa haya!! Jaman tena?? Khaa!!
Acha ubahili wew, sio unavaa viatu kama mwalimu wa shule ya msingi wewe.
Naomba nikuvalishe viatu.
Achana na viatu vya mtumba unavaa kama umelogewa, njoo dukan uvae chako kipya kwa bei poa
Niuze viatu vya kizee natafuta kuishiwa mtaji?? Sina mpango wakurudi kijijin kwakua mashamba yote yameuzwa.mbona ivi viatu vya wavulana tu. hauna vya wanamume
tutake radhi walimu wa s/msingi tafadhali
hee kwani unauza kiatu kimoja kimoja?Ukitaka nikuvake radhi nunua viatu viwil hapo nakupunguzia kwa 55000 tuone kama ATM ya NMB haijalia
hee kwani unauza kiatu kimoja kimoja?
Makubwa haya!! Jaman tena?? Khaa!!
Acha ubahili wew, sio unavaa viatu kama mwalimu wa shule ya msingi wewe.
naomba Uniwekee All Star Nyeupe namba 44 kwa zaidi nitakushtua kupitia upande wa piliNaomba nikuvalishe viatu.
Achana na viatu vya mtumba unavaa kama umelogewa, njoo dukan uvae chako kipya kwa bei poa
Pair moja bhana!!! Niliteleza
nitakuja mwenyewe kwa Miguu yangu ukizingua nakuzingua.. Njoo Huku upande Wa Pili uniambie Mzigo upo kipande gani nije nikuunge Dada yangu
naomba Uniwekee All Star Nyeupe namba 44 kwa zaidi nitakushtua kupitia upande wa pili
Wewe kuja uchukue kwangu, nitakucol jion
tatizo unapenda sana utelezi sio vizuri
Haina nouma nitakuchek weekend Nikiwa na muda niibuke hapo kwako..
Nitakuwekea, niliku2mia whtsp ila haukuwepo hewan sim zote.
Hata hvo jmos asubuh nitakuja mitaa yenu