<br />Karibu. Tufahamishe ni kitu gani hasa kimekufanya mpaka ujiunge. Au kama kuna kitu chochote unaona kiwe improved. The more specific the better. Feedback muhimu sana hasa kwa watu wageni kama nyie. Inasaidia kuboresha JF ili wale wanaochungulia tuu nao wajiunge. Nimekupa na like ya kwanza.
<br />
<br />
kumbe na wewe ni mod?
Karibu sana,kinywaji vipi?au..........?
Naomba nitoe heshima kwa wana jf wote kwa michango yenu na elimu ya ukweli inayotolewa humu jf hadi nikavutiwa kuingia humu jamvini! Viva jf!
Asanteni kwa michango yenu wote!To be specific discussion nyingi zinazofanyika hapa jamvini ni nzuri kwa maendeleo ya taifa kwa ujumla. Hili ni jambo kubwa lililonivutia.Pia kuna members wengi kama wabunge ambao kama kuna kitu kinahitaji clarification wanarespond immediately hivyo kupunguza red tapism kama mtu anataka amuone mtu kama mbunge wake....so far jukwaa la sports nadhan lina less importance to my outlook bse hamna updates ambazo ni current pia wachangiaji wake ni wachache....thanks a lot jf members!