Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

Isijekuwa tanuri la taka za Muhimbili halifanyi kazi wameamua kutupa hovyo mabaki ya watu.
 
Bunju iko hapa dar es salaam along bagamoyo road ukitoka mwenge past tegeta na boko!

Bunju iko mbele zaidi ya Boko....Magengeni....Usalama....Bunju A....kwa baharia kisha Bunju B
Kuna Bunju A na Bunju B ambako ndo mwisho kisha baada ya hapo ndo unalikuta daraja la Mpiji ambalo linaunganisha mkoa wa Dar na Bagamoyo.
.....Mizigo ilikutwa mbweni shule ya konsolata.....Mbweni unapitia pale njia panda ya Magengeni maarufu Dovya.
 
Isijekuwa tanuri la taka za Muhimbili halifanyi kazi wameamua kutupa hovyo mabaki ya watu.

i think ni hivi vyuo vya wahindi wasiothamini chochote zaidi ya pesa tu... kila medical facility inayodeal na products za viumbe hai hassa binadamu inalazimika kuwa na system ya kuondoa hizo taka kwa kufukia viwango vilivyowekwa, where ni tanuri, kuhifadhi, kusafirisha na hata kufukia chini.... chuo au hospitali haitakiwi kupractice kama hivyo vitu havijafanyika

corruption imezaa dharau kwa kila required condition kwa tanzania
 
Ni maiti mbili tu zilizokuwa na vichwa, nyingine zote hazina vichwa. Kwa mujibu wa askari polisi walizochukua kuzipeleka muhimbili usiku wa leo, maiti zote zikiwemo zile zilizokuwa zinavuja damu hazitoi harufu. Nyingi zilikuwa zimekaushwa na zimekatwatwa vipande vipande. Kwa wale tunaofikiri zimetoka vyuo vya kufundisha madaktari, wana JF madaktari watueleze kama kweli miili ya kujifunzia hukatwakatwa vipande?
 
Nimeona hii kwa michuzi, kwa kweli inatisha
ad41c51ed504857ec7b80c1988a66e05.jpg
 
Dah ngoja tusubiri kova atatueleza nn kuhusu hili...


If your not right...go left,,
 
Ni maiti mbili tu zilizokuwa na vichwa, nyingine zote hazina vichwa. Kwa mujibu wa askari polisi walizochukua kuzipeleka muhimbili usiku wa leo, maiti zote zikiwemo zile zilizokuwa zinavuja damu hazitoi harufu. Nyingi zilikuwa zimekaushwa na zimekatwatwa vipande vipande. Kwa wale tunaofikiri zimetoka vyuo vya kufundisha madaktari, wana JF madaktari watueleze kama kweli miili ya kujifunzia hukatwakatwa vipande?

Cadaver huishia kuwa vipande vipande. Zimekaushwa, harufu ya madawa yake ni kali sana.
 
Wataalamu wanasema mawili....
1..aidha madaktari wanafunzi ambao wanajifunza zaidi kuhusu maiti ndio wamemeliza masomo yao now ndo wanazitupa

2..mpango wa kubadilishana maiti kwa ajili ya kujifunza....hivo mafunzo yameisha na wamezitupa.

Swali...
nimeenda kuzishuhudia ni nyingi sana, halafu ni vipande vipande, kuna zinazovuja damu, kuna zilizokauka, kuna zilizochunwa ngozi.
Dereva aliyekuwa anaendesha hiyo Hilux amekamatwa yuko police Bunju A.....wananchi wamekizingira kituo wanataka wamuue dereva aliyetumwa kazi hiyo ya kumwaga mabaki ya miili.
Bunju hali sasa si shwari, risasi zinapigwa, watu wamebeba silaha za jadi wanataka kubomoa kituo ili wamuue dereva.
Picha na video ninazo ila niko mbali na laptop.

Hao wataalam wanaosema hivyo ni wataalam wa nini labda? Cz haingii akilini hata kidogo kutupa maiti namna hiyo,bora hata wangezizika pamoja.
Labda maktari waje watuambie kuwa wakimaliza mafunzo yao kwa vitendo ndio wanatupa maiti majalalani kweli? kwanza kiafya ni hatari kwani magonjwa ya milipuko yanaweza zuka.
 
Back
Top Bottom