msemakweli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,627
- 880
Bunju iko hapa dar es salaam along bagamoyo road ukitoka mwenge past tegeta na boko!Bunju ni wapi sisi tulioko Simanjiro hatupafahamu
Bunju iko hapa dar es salaam along bagamoyo road ukitoka mwenge past tegeta na boko!Bunju ni wapi sisi tulioko Simanjiro hatupafahamu
nilikuwepo eneo la tukio nawaletea picha punde hivi
Bunju iko hapa dar es salaam along bagamoyo road ukitoka mwenge past tegeta na boko!
Isijekuwa tanuri la taka za Muhimbili halifanyi kazi wameamua kutupa hovyo mabaki ya watu.
vimetoka interchick kiwandani. inasemekana vimekatwa kwa ustadi mkubwa na mashine. Swali la kujiuliza . . kuna uhusiano gani kati ya kuku wa interchick na viungo vya binadamu?
usalama wa taifa wameshaanza kukusaka wewe mtoa uzi huu.......jiandae kuthibitisha.....vinginevyo pole sana.....
Ni maiti mbili tu zilizokuwa na vichwa, nyingine zote hazina vichwa. Kwa mujibu wa askari polisi walizochukua kuzipeleka muhimbili usiku wa leo, maiti zote zikiwemo zile zilizokuwa zinavuja damu hazitoi harufu. Nyingi zilikuwa zimekaushwa na zimekatwatwa vipande vipande. Kwa wale tunaofikiri zimetoka vyuo vya kufundisha madaktari, wana JF madaktari watueleze kama kweli miili ya kujifunzia hukatwakatwa vipande?
Wataalamu wanasema mawili....
1..aidha madaktari wanafunzi ambao wanajifunza zaidi kuhusu maiti ndio wamemeliza masomo yao now ndo wanazitupa
2..mpango wa kubadilishana maiti kwa ajili ya kujifunza....hivo mafunzo yameisha na wamezitupa.
Swali...
nimeenda kuzishuhudia ni nyingi sana, halafu ni vipande vipande, kuna zinazovuja damu, kuna zilizokauka, kuna zilizochunwa ngozi.
Dereva aliyekuwa anaendesha hiyo Hilux amekamatwa yuko police Bunju A.....wananchi wamekizingira kituo wanataka wamuue dereva aliyetumwa kazi hiyo ya kumwaga mabaki ya miili.
Bunju hali sasa si shwari, risasi zinapigwa, watu wamebeba silaha za jadi wanataka kubomoa kituo ili wamuue dereva.
Picha na video ninazo ila niko mbali na laptop.