msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,827
- 1,729
kwahiyo akili zako zinakutuma humu member wote wa jf wapo Tanzania?
mimi niko Pyongyang, North korea, only jf ndio chombo changu cha kupata habari za nyumbani.
ndivyo walivyo utasikia mkuu huna TV? sasa ITV ntaitoa wa hapa DRC