py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Shule na dini zilivyonidanganya, maswali 5 muhimu ya kujiulizahivi unaktaaa nini mkuu wakati unambiwa umri wa ulimwengu huu ni miaka takribani Bilioni 14 ..na ukiangalia umri wa existance ya mwnadamu ni takribani miaka 6000 mpkaa sasa ...
manake nini..??
ni kwamba existance ya himan special imekamilisha miaka 6000 tangu dunia kuumbwa au universe formation...( soma kuhusu Big bang theory) utajua hayo.
manake ukichukua miaka bilion 14 ukatoa mika 6000 utagundua kuwa miaka iliyobaki waliishi viumbe tofaut na human race...
manake nini...??
uumbaji wa mungu haujaanza miaka 6000 iliyopita kumbe mungu alishindanisha viumbe wengine katika uso wa ardhi hii...kwa hiyo kupotea kwa viumbe hao ni moja ya kazi ya hii universe kwani katika science tunasema kwamba the universe does not expand to accomodate the increase in numbee of species but it allows natural seletion that is accompanied by survival for the fittest to every individual in this universe to continue living under this universe...
kwa hiyo maelezo hayo kwa tafsir ni kwamba...the universe if fixed..haiongezeki ujazo wala haipungui kiasi kwamba nutrient and oxygen availability is constant in number only limited and specically number of individual have to use it inordee to survive..kwa hiyo ndo mana viumbe wanakufa kwa ajiri ya kupisha evulution na uzalianaji upya...ili kitu kiingie kipya ni lazima cha zamani kitoweke na hiyo ndo tunaita Ratio to constant number in relation to natural selection...
kwa hiyo hao viumbe ni kweli walikuwepo ila inavosemekana walizaliana kupita kiasi na kusababisha oxygen depression ya hali juu kukatokea kitu tunachokiita cosmic collapse na kupelekea collapsion kubwa sana iliyoanzia ndani ya core ya dunia mpka juu ka kusababisha miamba kupasuka sana ndo mana mpkaa leo ukiangalia milimani unaona kama vifusi vya mawe meupe na ukiwauliza wazee na wao wanakwambia na sisi tumeikuta ..yani kila mtu kaikuta but ilitokana na hiyo kitu ya cosmic collapse...
kwa hiyo hao wanyama wengi walimezwa na mtitimo wa ardhi na bada ya mika mamilioni ya miaka ndo wakatengeneza layers nyingi na badae miozo yao mingi kutokana na kuwa na small surface area to volume ratio ndo tunapata mafuta na gesi nyingi ardhini..
vyote hivyo ni viumbe hao waliokufa mika milioni na ushehe kidgo iliyopita..
kwa hiyo usikatae kitu usichokifahamu...
ndo mana ulipewa masikio 2 na mdomo 1 it means talk less but hear much..( ongea kidgo kwa kitu usichokijua lakini sikiliza sna na kadri uwezavyo kwa masikio yako )
huenda kuna kitu kipya ukajifunza..
mchango wangu ni huo...
N.B in order for people tobsurvive some one or somepeople have to die either by natural selection (force from universe ) or by force from other people (kafara) ili kuruhu kuendelea kwa uhai hii hii dunia..
only few people know this but walio wengi hawalifahamu hilo..
thats y watu wanazozifahamu hidden universal laws ndo hao wanaozitumia kuishi kwa kucontrol wenzao..utabaki unalallamika but the truth is kept under secret ...
kwa hiyo katika kuishi katika hii universe it needs to follow those laws unless other wise the nature will selects who to survive...and the nature selects from the point of weekest...