Viumbe Donasari!

hivi unaktaaa nini mkuu wakati unambiwa umri wa ulimwengu huu ni miaka takribani Bilioni 14 ..na ukiangalia umri wa existance ya mwnadamu ni takribani miaka 6000 mpkaa sasa ...

manake nini..??

ni kwamba existance ya himan special imekamilisha miaka 6000 tangu dunia kuumbwa au universe formation...( soma kuhusu Big bang theory) utajua hayo.

manake ukichukua miaka bilion 14 ukatoa mika 6000 utagundua kuwa miaka iliyobaki waliishi viumbe tofaut na human race...

manake nini...??

uumbaji wa mungu haujaanza miaka 6000 iliyopita kumbe mungu alishindanisha viumbe wengine katika uso wa ardhi hii...kwa hiyo kupotea kwa viumbe hao ni moja ya kazi ya hii universe kwani katika science tunasema kwamba the universe does not expand to accomodate the increase in numbee of species but it allows natural seletion that is accompanied by survival for the fittest to every individual in this universe to continue living under this universe...

kwa hiyo maelezo hayo kwa tafsir ni kwamba...the universe if fixed..haiongezeki ujazo wala haipungui kiasi kwamba nutrient and oxygen availability is constant in number only limited and specically number of individual have to use it inordee to survive..kwa hiyo ndo mana viumbe wanakufa kwa ajiri ya kupisha evulution na uzalianaji upya...ili kitu kiingie kipya ni lazima cha zamani kitoweke na hiyo ndo tunaita Ratio to constant number in relation to natural selection...
kwa hiyo hao viumbe ni kweli walikuwepo ila inavosemekana walizaliana kupita kiasi na kusababisha oxygen depression ya hali juu kukatokea kitu tunachokiita cosmic collapse na kupelekea collapsion kubwa sana iliyoanzia ndani ya core ya dunia mpka juu ka kusababisha miamba kupasuka sana ndo mana mpkaa leo ukiangalia milimani unaona kama vifusi vya mawe meupe na ukiwauliza wazee na wao wanakwambia na sisi tumeikuta ..yani kila mtu kaikuta but ilitokana na hiyo kitu ya cosmic collapse...
kwa hiyo hao wanyama wengi walimezwa na mtitimo wa ardhi na bada ya mika mamilioni ya miaka ndo wakatengeneza layers nyingi na badae miozo yao mingi kutokana na kuwa na small surface area to volume ratio ndo tunapata mafuta na gesi nyingi ardhini..
vyote hivyo ni viumbe hao waliokufa mika milioni na ushehe kidgo iliyopita..

kwa hiyo usikatae kitu usichokifahamu...
ndo mana ulipewa masikio 2 na mdomo 1 it means talk less but hear much..( ongea kidgo kwa kitu usichokijua lakini sikiliza sna na kadri uwezavyo kwa masikio yako )
huenda kuna kitu kipya ukajifunza..

mchango wangu ni huo...


N.B in order for people tobsurvive some one or somepeople have to die either by natural selection (force from universe ) or by force from other people (kafara) ili kuruhu kuendelea kwa uhai hii hii dunia..
only few people know this but walio wengi hawalifahamu hilo..
thats y watu wanazozifahamu hidden universal laws ndo hao wanaozitumia kuishi kwa kucontrol wenzao..utabaki unalallamika but the truth is kept under secret ...
kwa hiyo katika kuishi katika hii universe it needs to follow those laws unless other wise the nature will selects who to survive...and the nature selects from the point of weekest...
Shule na dini zilivyonidanganya, maswali 5 muhimu ya kujiuliza
 
Twende sawa hadi tamati hata mimi mwenyewe nazidi kutambua kuwa hawa wadudu huwenda walikuwe.

Kuna documentary nimeambiwa nitazame "From the big bang to the present day" Naomba na wewe angalia kuanzia dakika ya 27-30 utaanza kuona mwanga ilikuwaje hawa viumbe wakapotea.
Asante ngoja nami nifwatilie .....kuna siku kwenye youtube niliona wakipigana na nyani mkubwa kumwokoa dada mmoja sikuendelea kuangalia yalikwa yanatisha haswa kwa ukubwa wake
 
Asante ngoja nami nifwatilie .....kuna siku kwenye youtube niliona wakipigana na nyani mkubwa kumwokoa dada mmoja sikuendelea kuangalia yalikwa yanatisha haswa kwa ukubwa wake
Huwa wanayatengeneza kwenye movie ila hayana uhalisia
 
kuna kipindi Star Tv walikua wanwaonyesha yani wanatisha ni viumbe fulani wa maajabu...
ndio maana wanasema zamani hata watu walikua na uwezo wa maajabu na kufanya maajabu
Na pia watu wa kale walikuwa wakubwa sana na wenye miguvu sio kama sasa hivi.

Kadri siku zinavyoenda hata uhalisia wa zamani hutoweka
 
Kwani Nyoka ni Mdudu ? Hujui nyoka ni mnyama na anataga ? Yaani kiukweli nashukuru sana serikali kujenga shule za kata ili kutibu watu kama wewe ila nasikitika sana elimu sio kipaumbele chako ndio maana hujajua kuwa kuna wanyama ambao wanazaa na wengine kutaga mayai
Hahahaa, kumbe mamba, kenge, kobe (kasa) nao ni wadudu?? ama kweli.
 
Dinasour
Nguva
Aliens
Popo bawa

Wametungwa wote

Kiumbe kimekufa million 200 iliyopita wanavyodai lakini wanatuchorea mchoro wa dinasour alivyokuwa ,umbile lake lote .

Wanatuonyesha Aina za dinasours na wamewa categorize kwa makundi mbali mbali

Aina ya chakula walizokuwa wanakula

Idadi ya mayai waliyokuwa wanataga na life style yao kiujumla

Yaani kiumbe kimeondoka ulimwenguni 200million iliyopita wanavyodai walijuaje hayo yote kama siyo kutufunga kamba?.
Kama yale ya kwenye dini... Huwa siyaelewi kabisa.
 
Ninachojua ni kuwa walikuwepo na skeleton moja ilipatikana Mtwala, Ila ilienda kuunganishwa uingereza na baadhi ya mifupa iliyopotea waliweka ya bandia, baada ya kuunganisha walipata umbo kubwa sana na limehifadhiwa kwenye jengo kwaajiri ya kumbu kumbu na utarii
dc6527babcd6c9a61d291d755e055e83.jpg
 
Ninachojua ni kuwa walikuwepo na skeleton moja ilipatikana Mtwala, Ila ilienda kuunganishwa uingereza na baadhi ya mifupa iliyopotea waliweka ya bandia, baada ya kuunganisha walipata umbo kubwa sana na limehifadhiwa kwenye jengo kwaajiri ya kumbu kumbu na utarii
dc6527babcd6c9a61d291d755e055e83.jpg
Wewe una makusudi sana" Mtwara" umeandika "Mtwala" na "utalii"umeandika "utarii" !
Faiza Foxy kuna mtu viboko vyako vinamhusu hapa!
 
Dinasour
Nguva
Aliens
Popo bawa

Wametungwa wote

Kiumbe kimekufa million 200 iliyopita wanavyodai lakini wanatuchorea mchoro wa dinasour alivyokuwa ,umbile lake lote .

Wanatuonyesha Aina za dinasours na wamewa categorize kwa makundi mbali mbali

Aina ya chakula walizokuwa wanakula

Idadi ya mayai waliyokuwa wanataga na life style yao kiujumla

Yaani kiumbe kimeondoka ulimwenguni 200million iliyopita wanavyodai walijuaje hayo yote kama siyo kutufunga kamba?.
ndege inawezaje kwenda bila rubani kama sio kutudanganya ni nni?,unawezaje kuongea na mtu kwa kutumia simu? Kama haya yamewezekana basi kutambua dunia ilikuwa vp miaka milioni iliyopita sii jambo la kushangaza

Kuna mambo ambayo hayapatani na akili za kawaida ila yamefanyika na yanatendeka kwa hiyo hawa viumbe wako levo nyingine sana asee!!@
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom