Vituo vya mafuta vyenye wafanyakazi wezi!!

Vituo vya mafuta vyenye wafanyakazi wezi!!

Dume kongwe

New Member
Joined
Dec 12, 2022
Posts
4
Reaction score
1
Katika sehemu zinazofanyika wizi mkubwa kwa wateja ni kwenye vituo vya mafuta, kuna muda unaona hivi hivi unaibiwa ila ama unaamua kuepusha shari ama unapotezea.

Zipo sehemu zenye wafanyakazi waadilifu lakini sehemu nyingi wizi umeshamiri kupita kiasi, mbaya zaidi ukiibiwa wewe ukisema pale siendi, watakwenda wengine wapya na wataendelea kupigwa! Hali inayozidi kuwapa jeuri wafanyakazi hawa na kujiona wapo sehemu ya ku download pesa.

Huu ni uzi maalum wa kutaja vituo vyenye wafanyakazi wezi na hata majina yao au wajihi wao ili tuzuie huu upumbavu wa kuumizana makusudi.
 
1. Ubungo hapo mataa.
2. Riverside.


Uhakika ni makampuni makubwa Puma, Total, Engine..

Pia make sure pump anairudisha kwanza pale ndio muanze upya sio katoka bodaboda kuweka wese la 3000 na we unaunga palepale.

Na mzigo uanze zero kila kitu.
 
Katika sehemu zinazofanyika wizi mkubwa kwa wateja ni kwenye vituo vya mafuta, kuna muda unaona hivi hivi unaibiwa ila ama unaamua kuepusha shari ama unapotezea.

Zipo sehemu zenye wafanyakazi waadilifu lakini sehemu nyingi wizi umeshamiri kupita kiasi, mbaya zaidi ukiibiwa wewe ukisema pale siendi, watakwenda wengine wapya na wataendelea kupigwa! Hali inayozidi kuwapa jeuri wafanyakazi hawa na kujiona wapo sehemu ya ku download pesa.

Huu ni uzi maalum wa kutaja vituo vyenye wafanyakazi wezi na hata majina yao au wajihi wao ili tuzuie huu upumbavu wa kuumizana makusudi.
Tuambie wanaibaje?
 
Back
Top Bottom