Vituo vya daladala vyenye majina ya ajabu

Vituo vya daladala vyenye majina ya ajabu

Wadau,habari zenu nijuavyo haya majina ya vituo vya daladala yalikuwa yanawakilisha asili ya kitu,eneo,mtu au mazingira fulani.ila majina ya vi2o vya tandale na sinza huwa vinanifurahisha sana utasikia kwa bibi nyau,kwa tumbo,popobawa! Na mengine ya kufanana nayo.
Tupia majina ya vituo vyenye majina ya ajabu kama haya!.nawasilisha

Kwa 'Lushino' kituo kiko Iringa. Lushino maana yake muulize muha naogopa kuitaja hapa.
 
Jamani tujuzeni mlioko temeke napita hapa chang'ombe police kuanzia hospital kuna msururu wa wa pikipiki yaani bodaboda wako wengi kuna nini?
 
Dunia warembo-Buswelu, kijiweni-Nyegezi, Kabangaja-Igombe, Mwanza..Kipumbuiko-Puma, Singida.
 
Chadema, bomobomo, kijiwe sam, lumo... njia ya jet hiyo.


Chawote kigogo hiyo
 
Lugalo, Makongo, Samaki, Chibao Cha Shule, Makonde, Kwa Ndevu, Kwa Sanya, Kwa Pembe, Tangibovu... Kwa Azizi Ali
 
... Mapu..Ma, Manywele, Mavumbizi, Makamasi.! Hyo Bukoba
 
Mkuu Ipycalypse sio Kihondombi ni Kihodombi na kipo Iringa .Vingine ni Koma koma,Kawe-Ukwamani,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom